Yupo wapi Betrice Muhone


alikua hamuheshimu kabisa mumewe,alikua anamdrig kama punda,yani alikua hawezi kutulia kwenye ndoa wala kubeba majukumu kama mke
 
Duuuu...maskin frola amesabaisha waimbaj wa injili waanze kuchambuliwa..akitoka Beatrice sijui atafuata nan..
 
Alikuwa anamdharau mume wake na kumuona kama takataka hadi mumewe akapoteza mvuto kabisa akakonda vibaya sana.

Mpaka sasa Mume wake bado yupo yupo tu, na kibarua alichokuwa anakifanya kumuendesha mmama mmoja wa UNICTR kiliisha, huyu dada sijui nimeanzie wapi aisee, anampitisha mume wake kwenye maisha magumu sanaaa, na kuanzia alivyouzaga nyumba alizokuwa amejenga ilboru naona pesa zimeisha na yeye akapotea kabisa kwenye game, na aliondoka kwenye kwaya ya Shangilieni kwa nyodo/dharau zote.
 
ok sasa nimeelewa
naona mwezie Upedo anafanya vyema sana

Alikuwa na mahusiano ya wazi kabisa na Mh mmoja, siku ya uzinduzi wake ukumbi ulikuwa mtupu kabisaaa, dharau kwamba angefanikiwa coz uzinduzi ulidhaminiwa na mheshimiwa ulimponza, Beatrice ni mjinga kabisa angetumia hiyo nafasi vizuri ungekuta yupo mbali, unaimba kwaya kubwa kama Shangilieni unashindwa kuwaalika kwenye uzinduzi wako coz ya dharau zako? yuko wapi leo hii? kafanikiwa kwa asilimia zote kumdhoofisha mume wake, hata aibu kama mke wa mtu hakuwa nayo huyu mwanamke, halafu halishauriki kwa majidai yake.
 

Kwaya ya shangilien naipenda, mule angalau alikuwa anaonekana kwel mlokole maana magaun aliyokuwa akivaa ya kishamba hatar, ile kwaya ilikuwa kiboko bwana.
 
alikua hamuheshimu kabisa mumewe,alikua anamdrig kama punda,yani alikua hawezi kutulia kwenye ndoa wala kubeba majukumu kama mke

Mwenzangu, alikuwa anamdharau mumewe hatar, nasikia wameachana na mume wake ni dereva teks, na huyo muhone anahangaikaga tu mara dar mara arusha, na kanisan walitengwa
 
Mwenzangu, alikuwa anamdharau mumewe hatar, nasikia wameachana na mume wake ni dereva teks, na huyo muhone anahangaikaga tu mara dar mara arusha, na kanisan walitengwa

dont tell me,yani yule mumewe ni mpole sana,sasa kama wameachana kwa nini anaendelea kutumia ubini wa mume wake? MUHONE ni jina la mumewe
 
Kwaya ya shangilien naipenda, mule angalau alikuwa anaonekana kwel mlokole maana magaun aliyokuwa akivaa ya kishamba hatar, ile kwaya ilikuwa kiboko bwana.

Bado ipo vizuri sana, wanarekodi album yao mpya kwa sasa, aliwadharau kuanzia viongozi mpaka waimbaji wenzie akiwepo mume wake, hata kumuonyeshea adabu ya kinafiki wakiwa kwaya ilikuwa tabu, pesa mwanaharamu kabisa, yuko wapi leo hii? na Mh alimtema chaaaap ilivyoanza kuvuma, mxsiii unaharibu ndoa yako na kutembea na mtu mwenye pesa za kumwaga hujafanya la maana mpaka kufikia kuuza na nyumba.
 
Mwenzangu, alikuwa anamdharau mumewe hatar, nasikia wameachana na mume wake ni dereva teks, na huyo muhone anahangaikaga tu mara dar mara arusha, na kanisan walitengwa

Bado wanaishi pamoja kimandolu, lakini ya ndani ni kwamba kila mtu na ustaarabu wake, Beatrice ndio alikacha Kanisani baada ya zile nyodo, Mume wake bado anapiga kwaya kama kawaida.
 
dont tell me,yani yule mumewe ni mpole sana,sasa kama wameachana kwa nini anaendelea kutumia ubini wa mume wake? MUHONE ni jina la mumewe

Analitumia au watu ndo wanalitumia??, muhone alikuwa muhuni na mwiz, kuna kampuni moja alikuwa anafanyia arusha njiro, alikuwa anaiba had mapazia ,na karibia wafanyakaz wote kashatembea
 

yaan kwenye ile nyimbo ya nuhu beatrice aliimba vizur had kesho naifagilia ile album ya shangilien, dah wanatisha sana st james, wako vizur sana, uyo beauty ndo kacharuka siku iz tu, na nasikia ana vihela hela sijui anagongwa na nani sasa iv
 
Bado wanaishi pamoja kimandolu, lakini ya ndani ni kwamba kila mtu na ustaarabu wake, Beatrice ndio alikacha Kanisani baada ya zile nyodo, Mume wake bado anapiga kwaya kama kawaida.

MMh, nilisikia wameachana mdaaa sana, sasa kama wamerudiana tena huyo mwanaume bas kibok
 
MMh, nilisikia wameachana mdaaa sana, sasa kama wamerudiana tena huyo mwanaume bas kibok

Labda kwa humo ndani mwao wameachana(mambo ya ndani) lakini kwa nje bado wanaishi pamoja kimandolu.
 
Labda kwa humo ndani mwao wameachana(mambo ya ndani) lakini kwa nje bado wanaishi pamoja kimandolu.

Watakuwa wanapeana tu, kwan midoli ile, sena beatrice alikuwa mzur sema umalaya sasa
 
Tutajiwe huyo muheshimiwa bana mbona Flora.katajwa muzee wa HAMA..... Na huyu tutajiwe pia. Hilo skendo lao lilikuwaje hadi muheshimiwa akaamua kuumwaga...... Warumi, nyamayao et al njooo mutoboe bakuli....
 
yaan kwenye ile nyimbo ya nuhu beatrice aliimba vizur had kesho naifagilia ile album ya shangilien, dah wanatisha sana st james, wako vizur sana, uyo beauty ndo kacharuka siku iz tu, na nasikia ana vihela hela sijui anagongwa na nani sasa iv

Sasa hivi atakuwa anafanya siri sana mana ishu ya Mh ilileta maneno sana, japo mwenyewe alikuwa hasikii wala haoni, anafanya siri mana anajua hata wakati ule wakina sie ndio tulimuunguzia picha, kila mahali alikuwa anasemwa jamani na kamji ketu haka ishu inavyotapakaa haraka mwehh, alijua kabisa sisi watu wake wa karibu tunaomzunguka ndio tunapiga midomo kama hivi, nadhani sasa hivi anakula na kunawa mikono na kufuta mdomo anapopajua yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…