Yupo wapi Betrice Muhone

Analitumia au watu ndo wanalitumia??, muhone alikuwa muhuni na mwiz, kuna kampuni moja alikuwa anafanyia arusha njiro, alikuwa anaiba had mapazia ,na karibia wafanyakaz wote kashatembea

Binamu hujambo?
 
Ndo mambo ya watumish wa mungu, sasa sijui sisi wa dunia tufanye dhambi gani, maana dhambi zote hatar wanazo wao

Binamu kumbe nna dhambi chache Sana.....mmh watu wametisha
 
Mwenzangu, alikuwa anamdharau mumewe hatar, nasikia wameachana na mume wake ni dereva teks, na huyo muhone anahangaikaga tu mara dar mara arusha, na kanisan walitengwa

Mwaka jana kwaya ya shangilieni ilifanya uinjilisti kanisani kwetu huku mkoa, mume wa Beatrice alikuwepo kwenye msafara though Beatrice hakuwepo
 
Mwaka jana kwaya ya shangilieni ilifanya uinjilisti kanisani kwetu huku mkoa, mume wa Beatrice alikuwepo kwenye msafara though Beatrice hakuwepo

Si nasikia aliondoka kwa dharau, st james ni kiboko ile album ya shangilien na silaha ya ushindi
 
Christina Shusho nasikia naye ana mambo yasiyo elezeka..

Huyo thread yake ipo chini hapo...yaan mkuu Mungu aokoe kizaz iki atupatie hofu ya kumuogopa na kumuheshim yeye maana mmmmmhhhh.

"Nisihukumu nisije hukumiwa"
 
Yupo wapi mwanamuziki wa injili machachari Beatrice Muhone? Sijamsikia long tym


Mdada wa watu mbona sio Machachari we jamaa !

Au ulimaanisha Rose Muhando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…