Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Kilaza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ka nikkiwapili kanavojiona kana akiliHawezi kusikika kwasababu anaimba sana PUMBA lakini huwa anajichukulia ana akili kubwa kinyama.
maudhui yao yanafanana, harakatiRoma anaimba matukio. Bonta ni tofauti.
hahahahaBonta mbona anabamba sana pande za Katoro na Ushirombo wazee [emoji23][emoji23][emoji23]
shilingi ngapi?Nauza Kura Yangu...!
One of the best song.
shilingi ngapi?
pale kwa bibi pafanane na ilalaPale kwa Bibi pafanane na Arusha...!
Huyu jamaa ni CO(Clinical officer) na sio MD kama watu wanavyodhani ama kujua,yupo Kahama hospital,mara ya mwisho nilimuona Mzumbe na baada ya kuulizia niliambiwa anafanya BHSM hapo Mzumbe,ni matumaini yangu alishamaliza na anasubiri teuzi tu
Mkuu daktari ni mwenye Degree,huyu bonta kwa kiswahili sahihi tunamwita TabibuWho cares?
As long as anafanya kazi hospitali sisi tunajua ni dokta tu.
pale kwa bibi pafanane na ilala
Tabibu ni Clinician kwa kingereza, na clinical officer ni afisa tabibu kwa kiswahili, sasa ujue hata doctor ni tabibu piaMkuu daktari ni mwenye Degree,huyu bonta kwa kiswahili sahihi tunamwita Tabibu
Mkuu daktari ni mwenye Degree,huyu bonta kwa kiswahili sahihi tunamwita Tabibu
pale kwa bibi pafanane na kinondoniPale kwa bibi pafanane na Mwanza Mwanza.
ndugu bonta yupo vizurKuna takataka humu anasema ndugu Bonta anaimba pumba. Aise kweli huyu mtoa hii kauli anatakiwa kufungwa jiwe kubwa Sana na kutupwa baharini
Ni bora aliyeathirika kuliko anayeambukiza ipo siku utanielewa huu mchezo nikimaliza...mwanamke mzuri kama hauna skills ni sawa na almasi kwenye pua ya nguruwe....kama elimu ni gharama fikiri kuhusu ujinga....viva maarifa.Huyu Mwana HipHop alitamba sana na ngoma kama Matusi, Watu Buu, Nauza Kura Yangu
Muda sana sijamsikia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?
River....Ni bora aliyeathirika kuliko anayeambukiza ipo siku utanielewa huu mchezo nikimaliza...mwanamke mzuri kama hauna skills ni sawa na almasi kwenye pua ya nguruwe....kama elimu ni gharama fikiri kuhusu ujinga....viva maarifa.
Daktari? Bonta si mwalimu jamaJamaa yupo pande za Kahama, ni daktari huko so kuchanganya muziki na kazi nadhani imekuwa ngumu ameamua kukaza kwenye udaktari japo anagusagusa kidogo muziki, kipindi cha Uchaguzi wa Urais, Ubunge na Madiwani alichukua fomu sema walimpiga chini