REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Habari zenu wadau wa burudani
Team kiba na team diamond naomba mtupe nafasi kidogo maana naimani wengi wenu hamjui uyu mtu ila kwa tarifa yenu kuna wasanii walishafanya makubwa uko nyuma sema teknolojia na connection hazikuwa kubwa kama Leo hii hivyo kazi zao ziliishia kapuni
Jamani Leo nimemkumbuka uyu kijana wa kingoni Caz T mwana wa komba aliyesumbua miaka ya 2000 mpaka 2002 na vibao vyake kama one more chance, sister due kapika ugali mmibichi, na funga kazi ulikuwa wimbo wa nakuitaji, pamoja na ablam yake iliyokuwa na nyimbo kama tuvumiliane nk.
Naomba kujua alipo uyu jamaa kwa sasa Mara ya mwisho niliambiwaga baada ya mauzo ya ablam ya Nakuitaji alifanikiwa kujenga maeneo ya ukonga makaburini
Naulizia kwa sababu kapotea kabisa haya kwenye interview simsikii kwenye matukio mbali mbali ya burudani nk haonekani
Yupo wapi uyu jamaa
Team kiba na team diamond naomba mtupe nafasi kidogo maana naimani wengi wenu hamjui uyu mtu ila kwa tarifa yenu kuna wasanii walishafanya makubwa uko nyuma sema teknolojia na connection hazikuwa kubwa kama Leo hii hivyo kazi zao ziliishia kapuni
Jamani Leo nimemkumbuka uyu kijana wa kingoni Caz T mwana wa komba aliyesumbua miaka ya 2000 mpaka 2002 na vibao vyake kama one more chance, sister due kapika ugali mmibichi, na funga kazi ulikuwa wimbo wa nakuitaji, pamoja na ablam yake iliyokuwa na nyimbo kama tuvumiliane nk.
Naomba kujua alipo uyu jamaa kwa sasa Mara ya mwisho niliambiwaga baada ya mauzo ya ablam ya Nakuitaji alifanikiwa kujenga maeneo ya ukonga makaburini
Naulizia kwa sababu kapotea kabisa haya kwenye interview simsikii kwenye matukio mbali mbali ya burudani nk haonekani
Yupo wapi uyu jamaa