Yupo wapi Deogratias Kisandu

Nimemkumbuka huyu jamaa ,Kuna kipindi nilidhani anajielewa nikamfuata PM ili tufanye biashara kwenye mziki wake ,Sasa kwenye maongezi nikaona hamna kitu .

Si siku moja jioni sana asinicheki aanze kunichimba biti kunipeleka mahakamani eti nimemtesa kisaikolojia na kihisia kisa kumpa ahadi isiyotimia 😃😃

Nikamlima block kubwa Ila alikuwa anapiga kwa namba ngeni kila akinikumbuka nikawa sipokei na mwisho akapotea mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…