Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nimecheka sana🤣🤣🤣 ilisomwa mahakamani hii ?Kesi Kama hii inaonesha jinsi system ilivyokuwa against deogratias KisanduView attachment 3047962
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana🤣🤣🤣 ilisomwa mahakamani hii ?Kesi Kama hii inaonesha jinsi system ilivyokuwa against deogratias KisanduView attachment 3047962
Hahahaha ngoja nikamuulizie Kule jamii checkBado yupo jela Kahama, alitaka muua mama yake mzazi.
hivi chaguo la don ni maria au sashà? jamaa alikuwa anamwelezea kwa hisia. daa, matabaka na umasikini taabu.Ndugu Don Nalimison anawezekana keshafika kwa Maria Obama
Pokea simu nakupigiaMichu pichu
Njoo pm nikupe namba mshangazi wangu 😊Pokea simu nakupigia
Acha mzaha mkuu [emoji22]Deo mbona amefariki mwaka juzi, tumemzika Mwanza Mkolani kwa wazee wake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
Nipigie na mimi basiPokea simu nakupigia
Nilimwambia niwe meneja wake akakubali😂 alafu ilikua PMItaniuma daaah.....
nkikumbuka ile singo yake mziki si mziki porn si porn haueleweki😹
Uko wapiNipigie na mimi basi
Naja PM😋Uko wapi
Pokea simu pokea simu nakupigiaNaja PM😋
Alivyo toka jela kagera 2019 alienda mirembe, Madaktari wa mirembe walithibitisha hana tatizo lolote la afya ya akili.Yuko milembe tangu 2022