gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
[emoji3][emoji3]
Mkuu, unafaa sana kuwa comedian.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
Bado yupo jela Kahama, alitaka muua mama yake mzazi.Wakuu.
Nimemkumbuka Sana huyu mwamba,,.
Nina muda mrefu sijamuona jamvini ..
Mwenye taarifa zake tafadhari.
Bora hamkupeana "nunu" mganga wangu hakuniangushaNikamfata pm kumwambia nampenda pia, akanichana anampenda zaidi Malia Obama nililia sana siku hiyo sikula.
Alishafukuzwa kitambo sana nafikiri ni kile kipindi cha MagufuliKuna uzi alidai ni mwalimu....nendeni shule aliyokuwa anafundisha mtapa majibu kuna kipindi alihamia Daslam.
Wakukome nakujua MIMI pekee K wanguYani unakuta mtu anakujua kukuzidi unavyojujijua
Yupo wapi superstar wa JF?Alishafukuzwa kitambo sana nafikiri ni kile kipindi cha Magufuli
Hata Mimi natamani kufahamu alipo The DonYupo wapi superstar wa JF?
Daaaah kumbe wakata umeme mlikua active 😹Bora hamkupeana "nunu" mganga wangu hakuniangusha
Nilikua napendana na Deo mara akapiga uturn anampenda Malia aaghhh penzi likayeyuka.Nimecheka sana, kumbe mlizama hadi penzini?
Jamaa alikuwa kama anashida kichwani,Huo ualimu aliupataje ?Hata Mimi natamani kufahamu alipo The Don
Tour bara yuropa au?nalimison atakuwa tour ya album yake.
Kabla ya hapo Jamaa alikuwa timamu kabisa ila alivyoanza kujiingiza kwenye siasa tu mambo yakaanza kubadilika kidogo kidogo sijui ni nini kilimkumbaJamaa alikuwa kama anashida kichwani,Huo ualimu aliupataje ?
Au Network ilipotea baada ya kuajiriwa?
Tupo sana😂 ila fuatilia kama jamaa kafariki kweli ukatoe poleDaaaah kumbe wakata umeme mlikua active 😹
Itaniuma daaah.....Tupo sana😂 ila fuatilia kama jamaa kafariki kweli ukatoe pole