Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 845
Kama anaendelea na tabia ile basi atafika mbali sana. ingekuwa hana akili sasahivi tungekuwa tunaongelea Skendo zakeAliku inspire eehy!?, yuko mjini he grew up, working corporate job.. NBC if not mistaken..cool guy kama back then.
Aliku inspire eehy!?, yuko mjini he grew up, working corporate job.. NBC if not mistaken..cool guy kama back then.
Hiyo ilikuwa radio One checki Video ya huo wimbo hapa ↓Nakumbuka kawimbo kale
Watoto wasafi moyoni
Ni nyota na nuru kwa wazazi.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Huyu Mtoto wa enzi hizo bado anaimba? na yuko wapi?Hiyo ilikuwa radio One checki Video ya huo wimbo hapa ↓
Warumi jamani khaaaaaNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Duh amekua mbabaView attachment 401738
yeah yuko NBC
huyo sio mtoto tena ni mkubwa sasa atakuwa anagonga kwenye 40samsingi au MoreHuyu Mtoto wa enzi hizo bado anaimba? na yuko wapi?
huyo ndie. Shavu dododuhh!ndo yy Huyo kwa picha!!??
Eti kala Panya buku ha ha ha anatumia Jina gani nkaone na miekwakweli...
warumi kanichekesha jamani
anatumia edd_mhinaEti kala Panya buku ha ha ha anatumia Jina gani nkaone na mie
Hahahaaaa! Binamu sio vizuri jamani.Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku