Yupo wapi Eddy Sultan?

Yupo wapi Eddy Sultan?

Mwenzangu binamu bora umeliona, ebu tupige umbea vzur, looh sio kwa sura ile jaman halafu anaonekana mkubwa, huyo Eddy na uzur wote ule jaman kaenda kuoa jimama mwee sijui dawa jaman, looh hapana, lazima tuvunje ndoa yake binamu akaoe kabint kazuri zur, ntaandaa kampen jaman, hapana kwa kwel
Eddy Itakuwa kalishwa limbwata na huyo mdada ili amuoe kwa nguvu.
Maana sura yake kama ana udugu na Open Kitchen.
Na kile kipini ndo kaharibu.
Au kafata LIVE IT!! LOVE IT!!?
Maana huko nao hawajambo, shikamoo marahaba.
 
Eddy Itakuwa kalishwa limbwata na huyo mdada ili amuoe kwa nguvu.
Maana sura yake kama ana udugu na Open Kitchen.
Na kile kipini ndo kaharibu.
Au kafata LIVE IT!! LOVE IT!!?
Maana huko nao hawajambo, shikamoo marahaba.
Aaah binamu sisi mapacha hakyanani, yan nilitak kusema hvyo hvyo, yan kafanana na Yule Dada wa open kitchen, aaah nimekupenda bure, mmh Eddy Yule kalishwa limbwata jaman, sio kwa mke yule, ebu tufanye mpango tumtoe kaka etu bhana,
 
Ndio, Eddy alikuwa mwanafunzi na mkewe alikuwa mkufunzi.
Mwalimu kaolewa na mwanafunzi wake
Yaah na baada ya hapo mke wake alikwenda London kufanya Masters, walikwenda wote na Eddy alifanya undergrad.
 
Aaah binamu sisi mapacha hakyanani, yan nilitak kusema hvyo hvyo, yan kafanana na Yule Dada wa open kitchen, aaah nimekupenda bure, mmh Eddy Yule kalishwa limbwata jaman, sio kwa mke yule, ebu tufanye mpango tumtoe kaka etu bhana, yule jinamiz sio mke
Afu mbona mtoto wake hajafanana na mama?
Au Eddy nae alizaa nje?
Afu sijaona picha ya mama akiwa kambeba mtoto mwenyewe.
Yule itakuwa mtoto wa kuletewa.
 
Labda.
Ila sie wadada tuna kasumba moja.
Mwanamke akiwa mweusi tunamuona mbaya.
Tumemezeshwa na mkorogo
Inawezekana ni kweli, za chini ya capert ninasikia mama mkwe pia hakutegemea mkwe yule, alitegemea atakuwa toto moja la kimanga kwa uhandsome ule wa mwanae😛😛😛
 
Sasa ulikuwa unakataa nini?
Mke mkubwa sana.
Kampita almost 9 yrs
Aaah jaman binamu unanifanya nijikojoleee, waah I nilijua mama ake mdogo ujue, mmmh ebu tumsaidie kaka etu bhana
 
Inawezekana ni kweli, za chini ya capert ninasikia mama mkwe pia hakutegemea mkwe yule, alitegemea atakuwa toto moja la kimanga kwa uhandsome ule wa mwanae😛😛😛
Aaaah wee umeona binamu? Jaman niko pamoja na mama mkwee mmh yule mwanamke hapana jaman, kwenye picha anatisha kama zombie, live sijui itakuaje waaah
 
Inawezekana ni kweli, za chini ya capert ninasikia mama mkwe pia hakutegemea mkwe yule, alitegemea atakuwa toto moja la kimanga kwa uhandsome ule wa mwanae😛😛😛
Umeona eeeee.
Mkwe kaja kuletewa mkwe mkwera.
Kuna mdau humu alianzisha thread, wanaume handsome huangukiaga pua siku zote.
Ndo kama yaliyomkuta wa kwenu huyo
 
Aaah jaman binamu unanifanya nijikojoleee, waah I nilijua mama ake mdogo ujue, mmmh ebu tumsaidie kaka etu bhana
Au tumuendee kwa Bwaoja?
Tukaichimbue hirizi yake pale mlangoni kwao?
Afu umeona....kasafiri nae mara 2 ty.
Afu mbona hapendi kumuweka weka katika pic zake?
Ndo wake huyooo..hakushikiwa panga.
 
Back
Top Bottom