Wale wachungaji walioteshwaa kuwa amekuwa raisi ivi wako wapi sahii
Wapo wanadunda tuWale wachungaji walioteshwaa kuwa amekuwa raisi ivi wako wapi sahii
loasa ndio nani mkuu?Kitendo cha loasa kutoonekana kwenye hiyo picha kinatia mashaka sana
Majaliwa naye siku hizi anavaa barakoa. Wanasema wameimarisha huduma za afya lakini wakiugua wanakimbilia nje
🤣🤣🤣Maja anakuaga muongo muongo kwenye kutoa taarifa za mgonjwa....
Wale waliosema IKULU si mahala pa kuhifadhi wagonjwa wapo wapi siku hizi..!? Nimekumbuka PUSHUPSWale wachungaji walioteshwaa kuwa amekuwa raisi ivi wako wapi sahii