Yupo wapi Fatuma Shemweta


Ushampigiaaaaa weeeeehhh Nyeto sasa haikukutosha umekuja kumtaftia humu
 
Alikuwa mzuri sana, nakumbuka nilikuwa mdogo enzi hizo lakini nilikuwa najisikia kitu flan hivi nikimuona[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]
Hawajakutendea wamemficha ofisini ila usimuone...dah inabidi povu la sabuni liongezeke sasa maana kazi ishakuwa ngumu.
 
Alikuwa mzuri sana, nakumbuka nilikuwa mdogo enzi hizo lakini nilikuwa najisikia kitu flan hivi nikimuona[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]
Hawajakutendea wamemficha ofisini ila usimuone...dah inabidi povu la sabuni liongezeke sasa maana kazi ishakuwa ngumu.
 
Jaman fatuma shemweta nimemmis kwny kipindi chake cha bonga na [emoji93] [emoji342] na Yale madoido yake
 
Siku hizi anatangaza channel ya star kids mkuu
 
yupo katika channel ya star kids
 
Wardrobe manager wa Sauda Mwilima na wa Saida Karoli ukiwaona tu naomba unistue tununue hiyo vita. Huwa nikiwaangalia najiogopa na Mimi labda nakosea watu watu wa Karibu wananichunia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]uwiih ila sauda nguo hazimpendez kwakwel
 
Kuna lijamaa na mihela yake limemweka ndani linampakua tartiibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…