Yupo wapi Hawa the bus driver, mwanamke wa kwanza kuendesha basi la abiria hapa Tanzania?

Yupo wapi Hawa the bus driver, mwanamke wa kwanza kuendesha basi la abiria hapa Tanzania?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Umofia kwenu jukwaani.

Niende kwenye mada hapo juu. Miaka ya nyuma alikuwepo mwanamama Hawa ambaye alikuwa dereva wa basi jijini Dar.

Anadaiwa kuwa mwanamke wa kwanza kuendesha basi la abiria humu nchini. Pia alisomwa ktk vitabu vya kingereza ktk shule za upili/ secondary kama "Hawa the bus driver"

Mwanamama huyu yupo wapi sasa na anafanya nini?
 
Umofia kwenu jukwaani.

Niende kwenye mada hapo juu. Miaka ya nyuma alikuwepo mwanamama Hawa ambaye alikuwa dereva wa basi jijini Dar.

Anadaiwa kuwa mwanamke wa kwanza kuendesha basi la abiria humu nchini. Pia alisomwa ktk vitabu vya kingereza ktk shule za upili/ secondary kama "Hawa the bus driver"

Mwanamama huyu yupo wapi sasa na anafanya nini?
Umenikumbusha mbali mkuu!
 
Umofia kwenu jukwaani.

Niende kwenye mada hapo juu. Miaka ya nyuma alikuwepo mwanamama Hawa ambaye alikuwa dereva wa basi jijini Dar.

Anadaiwa kuwa mwanamke wa kwanza kuendesha basi la abiria humu nchini. Pia alisomwa ktk vitabu vya kingereza ktk shule za upili/ secondary kama "Hawa the bus driver"

Mwanamama huyu yupo wapi sasa na anafanya nini?
Nimmemsikia leo BBC asubuhi akihojiwa anaendesha maloli makubwa ya mafuta kwenda Zambia na kongo
 
Yupo ilala bungoni ana titi kubwa yule bibi titi mwenyewe haoni ndani
 
Back
Top Bottom