Yupo wapi Innocent Sahani maarufu kama D Knob?

Kwani mwana Fa, hiyo elimu yake ya ifm ndio imemuweka bungeni, Gwamaka naye kasoma dipromasia.
 
Woiii...qchilla wa aseme,dully wa salama na julietha,hbc ya fanani na prof,hakuna kulala,
East coast na Tmk wakapigwa mawe sabasaba then 2005 wakapigwa tena mawe pale leaders mpk dully akashuka jukwaani...!!!
 
Kwa harmo sidhani yaani kungine uko sawa kabisa
 
ayaaaaaaaaaaaa wewe homeboy kabisaaaaa... Mlelwa alishavuta.....alifariki 2009 kama sikose...Hastings, Swilla, Mwanyingili bado wapo
Mlelwa is immortal as long as am alive, he was exceptional with geography pure exceptional. WakalWakali wa PGM na EGM tulipata basics kwake.
 
Mlelwa is immortal as long as am alive, he was exceptional with geography pure exceptional. WakalWakali wa PGM na EGM tulipata basics kwake.
Upo sahihi kaka mkubwa pamoja na yale mafegi yake lakini wengi alitufanya tusome EGM
 
Jamaa alikuwa mfalme wa Mitaa kuanzia miaka ya 2003 kwa ngoma zake maarufu Kama,
Elimu mitaani.com,
Sauti ya Gharama,
Bomoa Mipango,
Kitu Gani N.k

Yupo wapi huyu mwamba!? Hata Instagram Hana account

View attachment 2014601
Miaka mingi sana imepiitaaa (HuA) sauti nyingi sana zikaskikaa (...) kipindi hicho chote mi sikutoka yeeah [emoji445][emoji445]
 
Miaka mingi sana imepiitaaa (HuA) sauti nyingi sana zikaskikaa (...) kipindi hicho chote mi sikutoka yeeah [emoji445][emoji445]
sasa nachengua (chengua), kwa sauti yangu hii ya gharamaaaaaa, kama haujajua (haujajua), sauti yangu hii ya gharama....

kwa muonekano kama vile nipo sipo,
ningeongea ndio kabisa kama sio,
kwenye kila beat sauti yangu iko ndio,
nikishika MIC ndio naleta Mishiko,
hata bila mixing iko bomba,
kwa kweli inanifurahisha kwenye featuring inavyomeza
napata breeze kwa kila dambu ninaloingia,
nalamba nyapu kwa kila kiwanja ninachonusa,
inapendeza kwenye hip hop hata RnB,
hata ragga, hata kwaito hata dance hall,
hata kwa song ile new sikosi,
lilwe kavu hata kwa commercial tuta-shineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

huuuuuuuuuuuuuuuuuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
kwa sauti yangu napewa heshima ya real MC,
D.Knob njoo maskani machizi wanakumiss,
na baada ya show nabeba mshiko halafu inakua hivi,
Mez B twende club tukabebe mabinti,
sauti yangu ya gharama kama sumaku hivi,
inaleta marafiki, inaleta maadui,
ipo mzigoni kutokana na elimu ya mitaani,
iliyowaingiza darasani, sasa nawapa burudani,
ndiomaana dakika moja mitaaani, ya pili studioni na ya tatu itakuwa sokoni.,
ndiomaana dakika moja mitaani, ya pili studioni yaaaaaaaaaaaaap
 
Woiii...qchilla wa aseme,dully wa salama na julietha,hbc ya fanani na prof,hakuna kulala,
East coast na Tmk wakapigwa mawe sabasaba then 2005 wakapigwa tena mawe pale leaders mpk dully akashuka jukwaani...!!!

Complex na Vivian unawakumbuka?
 
Respect wa kiba🙌🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…