Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna ka ukweli vile ila hawa watani zangu wapare bhana!!Subiri aje utaona alivyomtata Mkuu.
Ndio kanaonekana ni kapole flan hivi na mwenye hekima, kanachangiaga sanasana mambo ya dini.Anakuwaga jukwaa hili pendwa kweli?
Wanzuki mkuu,Hakika Mkuu.
Umepatia
Unakunywa kinywaji gani Mkuu?
Basi poa, atakuwa ameisikia sauti yakoYap
Huwa anaingia
Anawaonea wanaume wa wapi vileeScorpion mchumba tu yule hana jeuri kwa wanaume wa shoka.
Anawaonee tu maboya wenzake.
Huyu Jane Lowasa kichwa yake ikitulia hua anaandika mambo ya msingi sana...Ila akili yake ikivurugika ni kituko..Unamfananisha kwa kipi mkuu?
Huyu Jane Lowasa kichwa yake ikitulia hua anaandika mambo ya msingi sana...Ila akili yake ikivurugika ni kituko..Unamfananisha kwa kipi mkuu?
Hahahaaaa, ngoja waje mie simooo, ni wanaume wa watu hao ati
hongera mkuuNimemuoa tayari!..
hahahaHuyu Jane Lowasa kichwa yake ikitulia hua anaandika mambo ya msingi sana...Ila akili yake ikivurugika ni kituko..
Radhia Sweety yule ameshavurugwa sana...Aliruhusu njaa ikae kichwani badala ya kukaa tumboni