Yupo wapi jf member BAK ?

Yupo wapi jf member BAK ?

Ngoja nikupe namba yake umpigie.
 
Huyu ni member maarufu na mkongwe humu jf lakini kwa kipindi cha zaidi ya miezi mitatu kapotea humu na hajapost wala ku comment chochote, na sio kawaida yake, kama yupo humu atujuze maana isije ikawa ndio wale wazee wa kuunga juhudi za mkulu hivyo akaamua kusepa kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
BAK (Bubu Ataka Kusema )kweli kitambo sijaona posts zake umefanya vyema kumuulizia.
 
Huyu ni member maarufu na mkongwe humu jf lakini kwa kipindi cha zaidi ya miezi mitatu kapotea humu na hajapost wala ku comment chochote, na sio kawaida yake, kama yupo humu atujuze maana isije ikawa ndio wale wazee wa kuunga juhudi za mkulu hivyo akaamua kusepa kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app

BAK ndio huyu huyu Copenhagen
.Hali tete huko Scandinavia masaa 24 wanapiga box
 
Mi nimekukumbuka member kiburi kuliko wote kuwahi kutokea humu jf malaria sugu!
 
Back
Top Bottom