Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona nafasi yake ameandaliwa mwana fa na nape kuongoza iyo wizara ccm bana
Tarimba atamuongoza Mwana FaNaona nafasi yake ameandaliwa mwana fa na nape kuongoza iyo wizara ccm bana
Amekatwa DodomaVipi kuhusu Mary Mwanjelwa yule aliyerekodiwa akigawa RUSHWA? Je amepata ?
Vipi kuhusu Mary Mwanjelwa yule aliyerekodiwa akigawa RUSHWA? Je amepata ?
[SUB]Kabla ya kuposti fatilia Kwanza kwa kina. Shonza ni Mbunge Viti maalumu Songwe[/SUB]
Anamlea kichangaWadau naomba kufahamu naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo ndg Juliana Shonza alipo. Alitia nia? Ikawaje? Au anapitia viti maalumu?
Au ndiyo kusema wizara hii imepoteza waziri na naibu waziri?
Kamtafute viti maalumu utampata hukoWadau naomba kufahamu naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo ndg Juliana Shonza alipo. Alitia nia? Ikawaje? Au anapitia viti maalumu?
Au ndiyo kusema wizara hii imepoteza waziri na naibu waziri?
Hivi ana mume au ni kiwanda huria Cha kufyatulia watoto?Anamlea kichanga
Kumbe Halima Bulembo nae kaliwa kichwa ?Hata yule aliyeongoza UVCCM nae kaliwa kichwa.Ameliwa kichwa Dodoma.
No comment.Hivi ana mume au ni kiwanda huria Cha kufyatulia watoto?
Hahaha! Aliyesema yasemekana ndiye mumewe.No comment.
Ila Jokate hana Mume
Hata Magufuli alilisema hilo
Vitu maalum hawatii nia??[SUB]Kabla ya kuposti fatilia Kwanza kwa kina. Shonza ni Mbunge Viti maalumu Songwe[/SUB]