Don Carlos92
Senior Member
- May 8, 2018
- 157
- 188
Imekaa vibaya pananifurahisha pale jamaa alipoingia selo wafungwa wenzake wakawa wanamshangilia mwa mwa mwa
[emoji23]kichizi"Madem hawapendi maboy goigoi,jino moja umeshtuka...dem akusema stakiii kumbe anataka unatoa kambale unampaa fastafasta[emoji23][emoji23][emoji23]
Shehe Kali Popote alikua ana burudani sana
"tusiwaige wenzetu wa mbeya walifanya sifa wakaweka raia kwenye ka sero kadogoo"[emoji23]Na ile sehem aliyosema waliwekwa kwenye ka selo kadogo
Ndio mkuu,Amekua ustadhi ?
"tusiwaige wenzetu wa mbeya walifanya sifa wakaweka raia kwenye ka sero kadogoo"[emoji23]
Huu wimbo naupendea biti lake na hayo maneno ya kuchekesha..EtiAnasema nalewa pombe nasahau had kaz nilifikir kaz ya upolisi ni yangu peke angu
"Na nikifa nitazikwa na gwanda langu na crown yangu [emoji146]"Anasema nalewa pombe nasahau had kaz nilifikir kaz ya upolisi ni yangu peke angu
"Na nikifa nitazikwa na gwanda langu na crown yangu [emoji146]"
hahaha
Kuna group la Whatsapp wamenitumia nyimbo zake,ni la bongo flava za zamani,nipo naburudika mkuu
Mkuu naomba nitafutie "Ngangari" ya Gangwe Mob kwenye chimbo lako!"Na nikifa nitazikwa na gwanda langu na crown yangu [emoji146]"
hahaha
Kuna group la Whatsapp wamenitumia nyimbo zake,ni la bongo flava za zamani,nipo naburudika mkuu
Poa ngoja niwastue wanaMkuu naomba nitafutie "Ngangari" ya Gangwe Mob kwenye chimbo lako!
Natanguliza Shukran
[emoji23] hahaha ila huyu jamaa bana, hiki ni kipaji hakijawahi kutokea bongo,anaimba vitu vya ajabu ila vinafurahishaNina mbinu zote za kijeshi na kipolisi
Kibaka mdogo kama wewe hunibabaishi
Jisachisaji utoe chochote mdogo wangu
Kukamua ndiyo kazi yangi
....
Aisee afande Mo unajua hii ni kesi
Kuogopa mgambo zaidi ya sisi polisi
.
Ninayo video ngoja nijaribu ku uploadHuu wimbo naupendea biti lake na hayo maneno ya kuchekesha..Eti
Walienda kuuza virungu vya porisi ili wapate hela ya pombe
"Na nikifa nitazikwa na gwanda langu na crown yangu [emoji146]"
hahaha
Kuna group la Whatsapp wamenitumia nyimbo zake,ni la bongo flava za zamani,nipo naburudika mkuu
Hahaha,na tumbo joto unaipata ?Kuna sehem walimwambia unalewa utapauliwa mayai ukisikiliza lazima ucheke tuu
Hahaha,na tumbo joto unaipata ?
"Unajua wanawake wa daslamu bila mkwara wa makonde tukiwatongoza hawakubali afu ni majeuri afu ukiwambia mambo wanajibu kama mgambo kasoro bunduki,kwanini wasijibu kama police kasoro kirungu "