Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 192
Mbona Alishafariki Toka 2007.
doh! walishamzushiaga kufa kumbe???? tindatine ndio wimbo ulionipatiaga mume mwenzenu, and for a good memory of the relationship with my hubby DVD ya huu wimbo ninayo hadi sasa.
Naomba kuuliza, Hivi yupo wapi siku hizi huyu mwanamziki Lady Mariam wa Uganda aliyetamba na kibao cha Tindatine, simsikii kabisa?
Alifariki aloimbaga nae huyo kaka.Niliambiwa kafariki, kumbe yupo jamani
Kumbeee, watu wazushi. Wakaskia juujuu wakatangazaAlifariki aloimbaga nae huyo kaka.
kindly tell us that beautiful love story!doh! walishamzushiaga kufa kumbe???? tindatine ndio wimbo ulionipatiaga mume mwenzenu, and for a good memory of the relationship with my hubby DVD ya huu wimbo ninayo hadi sasa.
How...?!