CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Habari wakuu,
samahani naomba kuuliza kwa wale wafuatiliaji wa kipindi cha Sport Headquater EFM 09.00 asubuhi hadi saa 12.00 NAOMBA KUJUA ALIPO MCHAMBUZI NGULI NA KIONGOZI WA MICHEZO E FM IBRAHIM MASSOUD (MAESTRO)
Ni takriban week mbili sijamsikia, Ningekuwa na mawasiliano yake ningemuuliza.
Naukubali sana weledi wake katika soka.
samahani naomba kuuliza kwa wale wafuatiliaji wa kipindi cha Sport Headquater EFM 09.00 asubuhi hadi saa 12.00 NAOMBA KUJUA ALIPO MCHAMBUZI NGULI NA KIONGOZI WA MICHEZO E FM IBRAHIM MASSOUD (MAESTRO)
Ni takriban week mbili sijamsikia, Ningekuwa na mawasiliano yake ningemuuliza.
Naukubali sana weledi wake katika soka.