Pre GE2025 Yupo wapi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja? Haonekani kwenye mapokezi ya Lissu

Pre GE2025 Yupo wapi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja? Haonekani kwenye mapokezi ya Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?

====

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi

 
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
Kila lifanyikalo Chadema linamakosa! Kununua magoli yasiyo na tija tunashangilia!
 
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speak
 
Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speak
Hawa bado wanaugulia ya maumivu uchaguzi kwahio wanaropoka lolote ilimradi wajifariji tu,
 
Nashukuru mods wamemuumbua huyu nzi ya kijani kwa kumuwekea clip inayomuomesha Devotha Minja kwenye ibada ya Lissu leo.

Huu ni ushahidi tosha kuwa huko CCM saivi wamejaa majuha
 
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?

====

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi

Devota keshaunga juhudi, ni kijani tayari. Tunasubiri tu muda mwafaka tumtangaze/tumhalalishe.
 
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?

====

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi

Minja mchaga
 
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.

Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.

Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?

====

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi

Uwongo, mbona yupo?
 
Back
Top Bottom