sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
====
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
====
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi