sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Kila lifanyikalo Chadema linamakosa! Kununua magoli yasiyo na tija tunashangilia!Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speakWakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
Ndiyo ijue CCM imejaa majuha tupuKila lifanyikalo Chadema linamakosa! Kununua magoli yasiyo na tija tunashangilia!
Hawa bado wanaugulia ya maumivu uchaguzi kwahio wanaropoka lolote ilimradi wajifariji tu,Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speak
No research no light to speak.?Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speak
Kama haujafanya utafiti usingumze Devotha Jana kwenye mapokezi alikuwepoNo research no light to speak.?
Ulikuwa unamaanisha nini?kiongozi.
Acha matusi Lissu anaua chamaWewe Devotha Toka Jana yuko na LISSU
Umeumbuka.Acha matusi Lissu anaua chama
Devota keshaunga juhudi, ni kijani tayari. Tunasubiri tu muda mwafaka tumtangaze/tumhalalishe.Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
====
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi
Akiua ndio vizuri kwenu ccm au una nia nyingine.Acha matusi Lissu anaua chama
Minja mchagaWakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
====
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi
Uwongo, mbona yupo?Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja.
Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama.
Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa kukiunganisha chama?
====
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja akitoa neno katika ibada ya maombezi nyumbani kwa Tundu Lissu kijijini kwao Ikungi