Yupo wapi mwimbaji wa nyimbo za Injili Beatrice Muhone?

Yupo wapi mwimbaji wa nyimbo za Injili Beatrice Muhone?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari za Jumapili wanandugu,

Niende kwenye swali hapo juu. Miaka ya nyuma ama takribani miaka kumi imepita sasa, alikuwepo msanii wa nyimbo za injili Beatrice Muhone.Alikuwa na nyimbo nzuri kweli ukiwepo mmoja uitwao Lango la Mbinguni.

Sijamsikia tena kwa muda mrefu katika uimbaji na uinjilishaji na sijapata tena taarifa yoyote kumuhusu mwanamama huyu. Kwenye matamasha ya pasaka pia nimekuwa nikitega sikio sikumsikia.

Mwenye kujua yupo wapi na anafanya nini na kwanini kaacha uimbaji wa nyimbo za Mungu atujuze.

Nawatakia Jumapili njema.
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaaaaaaahhhh, shetani bwana!!!
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nami niliwah kuckia km ww Pierreeppah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tetesi niliwai isikia ila si kwa namna hiyo....inasemekana alikuwa akitoka na Wachungaji..
 
Mhh...

Sijui kwanini waimbaji gospel wakike wengi ndoa huwashinda... Sijui
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Na tetesi nyingine nilisomaga humu humu jf zikisema,yule bidada nyodo na dharau ndio vimempoteza,katika ile albam ya ingoje ahadi alimkandia UPENDO K wakati nyimbo walifanya kwa ushirikiano.

Pia ilisemekana aliliwa na kigogo mkubwa sana anaemiliki redio maarufu sana hapo Arusha 5. Hayo yote nadhani yanampa psychological torture.

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Beatrice ilikuwa chakula ya huyo jamaa wa Mererani na wengine wengi tu

Ila sasa hivi kamrudia mmewe niliwaona Arusha kama wiki mbili zilizopita


Mwanamke sio ndugu yako acha kabisa
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sipendi kuzungumzia maisha ya watu binafsi lakini ninalazimika pale ninapoona kuna kweli inapootoka.

1) Mume we Beatrice hakumsaidia Beatrice kuimba. Badala yake alikuwa kamtelekeza na watoto, na kuelekeza moyo wake kule alikokujua yeye. Baada ya kuhangaika sana, Beatrice alikutana ya Diana Mwakasege akamfanyia huduma. Baada ya hiyo huduma, Beatrice alitoa nyimbo ya kwanza wakiwa na Upendo Kirahiro. Baada ya kuona hivo, mume wake akarudisha majeshi na kidogo kukatokea sintofahamu kati ya Beatrice na Upendo. Hiyo ilikuwa ni kanda pekee ya nyimbo zilizotungwa. Zilizofuata ambazo aliimba bila Upendo, zote ni nyimbo za wengine ama za Kwenye vitabu na Tenzi ukiwemo huo wa Lango moja.

2). Habari ya madini, siijui. Siwezi kuisemea ila nilidhani mimi kwa kuwa hakuwa na kipaji cha kutunga nyimbo na aliachana na Upendo kabla hajatengamaa, pengine nyimbo za kuinga ama kitabuni hazikuweza kuwa nguzo ya kuendeleza uzalisaji. ILA JUU YA HILI SIJUI!.
 
Mwenye picha yake atupie humu
64dda9b6a00db5c3d8bd9ece4a44c3ad.jpg


53a1a85c78934a3719569bb84e9e5d21.jpg


ca324392476ea871bcb97aa298cd9c85.jpg


2211ef14df7c7cb30f14cbd89a27bbcd.jpg
 
Back
Top Bottom