Yupo wapi mwimbaji wa nyimbo za Injili Beatrice Muhone?

Yupo wapi mwimbaji wa nyimbo za Injili Beatrice Muhone?

mie nahakika kilichombeba ni urembo wake ! hana kipaji cha kuimba wala kutunga ! mtu mwenye kipaji cha kuimba ni nkone na rose(sauti zao ukizisikia unajua hawa wana vipaji) !sijui nisemeje nielewek !abda niseme alikua anaimba flat saaaaaaaaanaaaa! thts y alianguka mara moja na nilijua tu ataanguka !

chukua cd za waimba acappela wa nyimbo za injili angalia wanavyoziimba utajua hawa wana kipaji na ufananishe na huyu beatrice ! mayb angeenda kujifua kwanzaz zaidi !
 
64dda9b6a00db5c3d8bd9ece4a44c3ad.jpg


53a1a85c78934a3719569bb84e9e5d21.jpg


ca324392476ea871bcb97aa298cd9c85.jpg


2211ef14df7c7cb30f14cbd89a27bbcd.jpg
Alijipamba akapambia
 
Tetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli shetani anaangaika na wateule wa Mungu
 
Ni mzuri zaidi akitoa hayo manywele yaani akiwa natural na kwa wanaomjua wakati akiimba kwaya flani ya arusha (jina limenitoka) watakubaliana nami...

Ana sauti nzuri sana huyu Dada hasa katika nyimbo za taratibu kama habari njema iliyopo katika tenzi za roho. Sauti yake inaupasha moyo hakika ,mengineyo ni mapito tu na kama alijitolea kuhubiri kwa njia ya nyimbo bhasi IPO siku atairudia dhamira ya awali
 
Kipindi kile nimebobea sana kwenye punyeto nikipiga punyeto nikiona vitu haviji upesi nachoka tu, nilikuwa naweka video zake,ile sauti yake tamu na macho yake vilikuwa vinafanya vitu vimwagike ndani Ya dakika chache tu
Mzee wa chaputa..... Afadhali umeshaacha
 
Back
Top Bottom