elvee
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,110
- 1,625
UsijaliKweli JF ni hazina na maktaba isiyomithilika, kila kitu unapata, asante sana ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsijaliKweli JF ni hazina na maktaba isiyomithilika, kila kitu unapata, asante sana ndugu.
Heaven on EarthNyimbo zake ukizifungulia taratibu kwenye gari infact you see heaven on earth
blame no body
Daaaaaaaaaahhhh, shetani bwana!!!
Mrembo hazeeki,,,naskia kwenye album ya kwa viumbe vyote yumo,,
Alijipamba akapambia
Kweli shetani anaangaika na wateule wa MunguTetesi miaka chache ilopita nilisikia mahali. Yule dada ni mrembo na anamume ndie aliemwezesha kwa kila kitu. Huyo mme nae pia ni mwimbaji.... Tajiri moja toka mererani palipo na machimbo ya tanzanite, alimpenda sana huyu mdada kwa jinsi anavoimba. Akafanya mikakati atakavompata kwa garama yoyote. Aliingia kwakupitia mdada alie rafiki wa karibu sana wa bite, alimpa hongo mil 2 ili amfanyie mpango anyooshe njia. Huyo dada alifanya km alivotumwa hadi akafanikiwa. Bite akamkubali huyo tajiri, na ndoa yake ikaingia mgogoro mkubwa sana, na jina lake kuchafuka hivyo hakuweza kurudia tena uimbaji....... Hii ni tetesi tu ya miaka chache ilopita, hivo halina uwazi zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka na wachungaji inawezekana ni baada ya huyo tajiri kutoka. Tabia ya wanawake wengi akishachepuka huwa harudi nyuma anaendelea kwa wanaume wengine na wengine.Hii tetesi niliwai isikia ila si kwa namna hiyo....inasemekana alikuwa akitoka na Wachungaji..
Ndo maana wanaume wengi husita sita kuoa waremboNi kweli Beatrice ilikuwa chakula ya huyo jamaa wa Mererani na wengine wengi tu
Ila sasa hivi kamrudia mmewe niliwaona Arusha kama wiki mbili zilizopita
Mwanamke sio ndugu yako acha kabisa
YaapHivi alianzia kuimba huko!?
Ni mzuri zaidi akitoa hayo manywele yaani akiwa natural na kwa wanaomjua wakati akiimba kwaya flani ya arusha (jina limenitoka) watakubaliana nami...
Hivi alianzia kuimba huko!?
Alianzia kwenye Kwaya ya St. James Arusha
Mzee wa chaputa..... Afadhali umeshaachaKipindi kile nimebobea sana kwenye punyeto nikipiga punyeto nikiona vitu haviji upesi nachoka tu, nilikuwa naweka video zake,ile sauti yake tamu na macho yake vilikuwa vinafanya vitu vimwagike ndani Ya dakika chache tu
Mzee wa chaputa..... Afadhali umeshaacha