Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Bila kusahau mbatia mama TznSiyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Yule mzee Nakamba a.k.a Ze Komedi w kisiasa kwa nyakati hizi hakuna mtu anayetaka kuwa karibu naye kisiasa.Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Huyo ni shetani afadhali aendelee kupumzika. Asije akatoa tena sauti ya kishetani kuwa WAZURI HAWAFI.Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Tangu lle kauli yaje ya dhihaka kwa JPM hajasikika tenaSiyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.