kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ile kauli aliyotoa inamtesa, amejifungia mahalo akitafakari namna ya kuomba msamaha. Mtoto mdogo akifa ni mbaya katika jamii? Maana kafa mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile zee umbwa mieZee halina busara linaropoka tu.
Ni takataka ya chooni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule mzee ni mshenzi sn bora akae kimya
Yupo.Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Enzi hizo si ulikuwa ukijua kusoma na kuandika unafuatwa nyumbani na taasisi ya serikali au chama ukaajiriweHata wapumbavu huzeeka.
Halafu wakati mwingine unajiuliza haya mamjamaa mapuuzi puuzi yalipatapataje kuwa na nafasi kwenye chama na serikalini?!
Ina maana kipindi hicho hakukuwaga na vetting?!!
Uko sahihi Yule mzuri na hao watu hawahusiki na kinachowaumiza nyieYupo na mwenye afya njema kabisaa, mi ni jirani yangu
Anashughulika na ng'ombe wake tuUko sahihi Yule mzuri na hao watu hawahusiki na kinachowaumiza nyie
Yule ni shetani mkubwaNi takataka ya chooni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]