Yupo wapi na anafanya nini?

Yupo wapi na anafanya nini?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Uliza kuhusu msanii yeyote kwamba yupo wapi na na anafanya nini,haijalishi wa mziki au movie za bongo
 
Wanamuziki:
Mnyalu
Farida
Esther wassira

Wa-bongomovie:
Aisha na Bishanga
 
T-shirt na Jeans.. Unv-coner wapo wapi?
 
uswahilini matola
jah kimbute
wale jamaa walioimba wanawake wazuriwazuri wameolewa wamebaki manungayembe....
yule jamaa aliyekuwa mume wa dokii
dola
balozi dolla
john mahundi
 
Saida Kalori yuko wap na anafanya nini?
 
vengu wa ze komedy
Sawa kabisa, hata mimi nataka nijue kuhusu Vengu. Mara ya mwisho miaka kadhaa imepita nilisikia aliugua akawa hajiwezi kitandani sijui yupo katika comma (Mungu amsaidie kama ni kweli)! Viol, tell us about this guy!
 
Last edited by a moderator:

Unamaanisha Nina wa kaole? Nasikia aliolewa na akajifungua mapacha watatu. Nilisikia pia yeye na mumewe wanamiliki ile bendi ya dar modern taarab

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Imam Abbas, Kiongozi wa Mitaa ya kati.....
 
Uyo mtoa majibu mwenyewe hana hta moja alijualo afu anataka maswali jibu sasa sio kujitia ububu apa....
 
Back
Top Bottom