Yupo wapi Nargis Mohamed?

Yupo wapi Nargis Mohamed?

Hivi haya mazali ya mentali yanawatokeaga kina nani ? Tokea nizaliwe sijashuhudia ata jirani tu akila shavu kama la Prof J na Vicky
 
f2eee452ce1a11e3b53f0002c9dd0ff8_8.jpg
Dan! Mdada mzuri huyu hadi raha
 
Yuko CRDB aliolewa na ana mtoto mmoja sasa... pia anahusika katika kuwavalisha wadada wa mjini na duka la [COLOR=#ff0000]fashionista[/COLOR]

Dada kumbe nawe ni mkurupukaji?

hapo mwanzo upo sahihi kabisa, Nargis Mohd yupo CRDB Makao Makuu (MIKOCHENI) huko fshoonista ni mtu wa kawaida wala sio mmiliki wa lile duka kama wengi mnavodhani.
 
Back
Top Bottom