kuchangumu
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 724
- 290
Huyu dogo alikuwa mkali sana kwenye medani nakumbuka nyimbi zake kama nicheki,mimi,nk yupo wapi huyu mtu mbona kimya?au alishakufa atujatangaziwa au kaacha mziki kwa anayejuwa alipo huyu mtu atufahamishe hapa alikuwa mkali au wazamani ndio basi kwenye mziki?