Yupo wapi Professor Silas Lwakabamba Mtanzania Mwanzilishi wa Kigali Institute-KIST

Yupo wapi Professor Silas Lwakabamba Mtanzania Mwanzilishi wa Kigali Institute-KIST

Samahani san Mkuu Koba, Ainea Kimaro SiYO Proffessor wa KIST, ila a talented technical person.
Miradi uliyyoitaja kaifanya huko Rwanda na sasa yupo Ukonga na anafanya vitu vyake.
Alikuwa Ofisini kwangu last week, hivyo nafahamu ninachikiongelea
Kweli sasa mbona mambo haya Watanzania wanashindwa kufanya ndani ya Nchi yao Tanzania
 
Kweli sasa mbona mambo haya Watanzania wanashindwa kufanya ndani ya Nchi yao Tanzania
Mkuu Josh,watu wa aina ya Ainea Kimaro wapo, tena wengi sana ,nchini kwetu.
Mimi nimeshuhudia vijana wadogo walioanza na mtaji wa elimu yao tu, na sasa wamefika mbali sana.
Matatizo ni mengi lakini lazima tuondokane na mentality ya kuajiriwa na kupewa maofisi makubwa makubwa yenye viyoyozi.Kama mtu ni kijana na akapewa ofisi za aina hiyo huo ndio mwisho wa taaluma yake-and I am serious.
Nimeshuhudia wahandisi wengi tena wenye taaluma nzuri tu, wakiishia kuwa technical cabbages baada ya miaka kumi ya kuvaa suti na kupandishwa mashangingi ya serikali.
Baada ya miaka kadhaa wakijilinganisha na wenzao walioingia kwenye technical field kwa kujitegemea wanakuwa nyuma sana kimaisha.
Si kwamba watu tecnical wasiingie utumishi wa serikali la hasha , lakini inabidi waingie zile field zinazoelekea kuwa relevant na masomo yao ya taaluma.
 
Mkuu Josh,watu wa aina ya Ainea Kimaro wapo, tena wengi sana ,nchini kwetu.
Mimi nimeshuhudia vijana wadogo walioanza na mtaji wa elimu yao tu, na sasa wamefika mbali sana.
Matatizo ni mengi lakini lazima tuondokane na mentality ya kuajiriwa na kupewa maofisi makubwa makubwa yenye viyoyozi.Kama mtu ni kijana na akapewa ofisi za aina hiyo huo ndio mwisho wa taaluma yake-and I am serious.
Nimeshuhudia wahandisi wengi tena wenye taaluma nzuri tu, wakiishia kuwa technical cabbages baada ya miaka kumi ya kuvaa suti na kupandishwa mashangingi ya serikali.
Baada ya miaka kadhaa wakijilinganisha na wenzao walioingia kwenye technical field kwa kujitegemea wanakuwa nyuma sana kimaisha.
Si kwamba watu tecnical wasiingie utumishi wa serikali la hasha , lakini inabidi waingie zile field zinazoelekea kuwa relevant na masomo yao ya taaluma.
Mi nataka kujiajiri kama contractor ila njia ya kupita imejaa mbigiri na miba. Nimebobea katika fani za mitambo na umeme
 
Mi nataka kujiajiri kama contractor ila njia ya kupita imejaa mbigiri na miba. Nimebobea katika fani za mitambo na umeme
Nakuunga mkono mkuu kwa azma hiyo.
Kuna kijana pale Mbezi ambaye ameanzisha kampuni yake ya miundombinu ya mawasiliano,yuko katika jengo la SHAMo na sasa anaendelea vizuri sana.
I am proud of this guy.
Mbigiri na miiba usiogope mkuu, hizo zipo tena nyingi sana.Cha msingi ni jinsi ya kuziona hizop mbigiri na kuzitanzua.Huwezi kuziona ukiwa nje ya mchezo-sharti uingie ngoma na uicheze.
Kijana mwingine contractor wa umeme namfahamu ameshiriki katika miundombinu ya umeme wa Uwanja wa Taifa mpya,spidi ya maendeleo yake inatia moyo.
Nchi hii itaendelezwa na sisi wazalendo na si taifa jingine , hasa wataalam wachache tulio nao.
 
Nakuunga mkono mkuu kwa azma hiyo.
Kuna kijana pale Mbezi ambaye ameanzisha kampuni yake ya miundombinu ya mawasiliano,yuko katika jengo la SHAMo na sasa anaendelea vizuri sana.
I am proud of this guy.
Mbigiri na miiba usiogope mkuu, hizo zipo tena nyingi sana.Cha msingi ni jinsi ya kuziona hizop mbigiri na kuzitanzua.Huwezi kuziona ukiwa nje ya mchezo-sharti uingie ngoma na uicheze.
Kijana mwingine contractor wa umeme namfahamu ameshiriki katika miundombinu ya umeme wa Uwanja wa Taifa mpya,spidi ya maendeleo yake inatia moyo.
Nchi hii itaendelezwa na sisi wazalendo na si taifa jingine , hasa wataalam wachache tulio nao.
Wakuu wote nawatakia kila la kheri la kuanzisha mambo haya Tanzania maana utakuta kuwa vijana wengi sana wana metality kama hiyo ya kuajiliwa Tanzania hivyo kufanya fani hiyo isiwe na nguvu katika mambo mengi sana
 
lwakabamba.jpg




Professor Silas Lwakabamba, Ni Mtanzania wa kwanza kwenda kufungua Chuo ambacho leo hii kinaonekana kama ni mfano wa kuigwa katika Bara la Africa, yaani ni chuo cha Kigali Institute of Technology KIST, yaani ni Chuo cha mfano kwa sababu ni Wanafunzi wake wanaenda moja kwa moja kwa Community base kuwasaidia katika kufanga vyombo mbalimbali na kuona Rwanda inapiga hatua katika maendeleo.

Rais Paul Kagame baada ya vita iliyotokea mwaka 1994 aliamua kwenda UDSM na kuwaomba baadhi ya walimu kwenda naye Kigali kufungua chuo hicho katika Taifa la Rwanda, na katika hali ilivyokuwa alichukuliwa Professor Silas Lwakabamba kuwa RECTOR wa kwanza huko na kukuboresha chuo hicho. Lakini Sisi Tunanzisha vyuo vyetu Tanzania na watu hawa wako wapi jamani. Inatia uchungu sana kuona Taifa ambalo linashindwa kuwatumia watu wake na kuonekana sehemu nyingine.

Yupo wapi Silas Lwakabamba na anafundisha wapi?? Tanzania inakuhitaji sana katika kufanya na kutuimia elimu yako.

Wadau kama wanajua alipo basi wajitokeze hapa
CV yake hii hapa chini
Silas LWAKABAMBA (Chairman of Board of Rwanda Information Technology Authority — RITA & Rector of National University of Rwanda)

Professor Silas Lwakabamba has been Rector at the National University of Rwanda (NUR) since July 2006. He received his PhD in Mechanical Engineering from the University of Leeds, England, in 1975, and subsequently worked as Head of the Department of Mechanical Engineering, Associate Dean, and Dean of the Faculty of Engineering at the University of Dar-es-Salaam, Tanzania, for 10 years.

In 1985, Prof. Silas Lwakabamba joined the UN-Sponsored African Regional Centre for Engineering Design and Manufacturing (ARCEDEM), based in Nigeria, as a founding Director of Training and Extension Services. For 12 years, he was responsible for organizing many workshops and training programmes for the benefit of the entire region. It is from this post that Prof. Lwakabamba was called in 1997 by the Government of Rwanda to establish the Kigali Institute of Science Technology and Management (KIST). He held the position of Rector of KIST from October 1997 to June 2006 when he was transferred to the position he currently holds as Rector at NUR.

Since 1975, Prof. Lwakabamba has been a member of several boards and committees at the national, sub-regional and international levels. These include membership of the Executive Board of UNESCO, African Virtual University (AVU) Board of Directors, Governing Council for Africa of the International Association of University Presidents (IAUP), Chairperson of the Board of Directors of the Rwandan Parastatal telephone company (RwandaTel), Chairperson of the Rwanda Information Technology Authority (RITA), President of the Institution of Engineers of Rwanda, amongst others.

In November 2001, he was elected a Fellow of the World Innovation Foundation based in UK, in February 2003, he was awarded the UICEE Silver Badge of Honour for Distinguished Contributions to Engineering Education at the 6th UICEE Annual Conference on Engineering Education, held in Cairns, Australia, and in November 2005, he received an Honourary Doctor of Technology Degree from Glasgow Caledonian University in the United Kingdom.

He has had over 50 articles published in international journals and conference proceedings in the areas of combustion, higher education, science and technology, energy and power production.

Wiki hii huyu jamaa Amechaguliwa Waziri..wa Miundombinu.......

Mnafikiri huyu alikuwa Mtanzania au mrwanda ?
 
Hivyo kasomeshwa na kodi zetu alafu anatumika nchini kwake? Jamani Tanzania kuna shida sana hapa
 
Siyo huyo tu, kuna professor mwingine anaitwa Bisanda. Huyu pia alikuwa UDSM pale materials engineering, akaja kwenda Botswana serikali ya kule ilimwomba aende kuanzisha idara ya materials engineering.

Alirudi mwaka 2001 kutoka Botswana cha ajabu alipo ripoti pale UDSM wakamwambia ajira yake ilisha futwa labda afanye kazi kwa mkataba. Yeye akamwabia Prof. Luhanga kwamba.....anaona hawamuhitaji ngoja aende kule anakohitajika...na yeye leo yupo Kigali Rwanda anakunja noti kibao.

Nafikiri unamuongelea Bisanda aliyekuwa Wizara ya kilimo ambaye amefariki mwaka juzi, au ni yule mdogo mtu maana wte ni maprof hawa. Ila hii nchi inatakiwa ifanyiwe review
 
Nafikiri unamuongelea Bisanda aliyekuwa Wizara ya kilimo ambaye amefariki mwaka juzi, au ni yule mdogo mtu maana wte ni maprof hawa. Ila hii nchi inatakiwa ifanyiwe review
Wafanye review alafu? endeleeni kulala kupiga majungu kuutukuza udini na makorokocho ya kila aina.
 
Siyo huyo tu, kuna professor mwingine anaitwa Bisanda. Huyu pia alikuwa UDSM pale materials engineering, akaja kwenda Botswana serikali ya kule ilimwomba aende kuanzisha idara ya materials engineering.

Alirudi mwaka 2001 kutoka Botswana cha ajabu alipo ripoti pale UDSM wakamwambia ajira yake ilisha futwa labda afanye kazi kwa mkataba. Yeye akamwabia Prof. Luhanga kwamba.....anaona hawamuhitaji ngoja aende kule anakohitajika...na yeye leo yupo Kigali Rwanda anakunja noti kibao.
Na wew uko nyuma na wakati Prof. Bisanda aliisharudi yuko Chuo kikuu huria.
 
kwa heshima anayopewa huyu profesa rwanda,kurudi Tanzania ni ndoto
NI Mnyaru na amekuwa Waziri wa Elimu huko Rwanda. Jana kwenye habari ITV waliogopa kulitamka jina lake lote wakaishia kusema Rais Paul Kagame amefanya mabadiliko ya mawaziri katika hao wapwa yuko Prof. Silas. sasa sijui waliogopa kumalizia jina lake lote la Rwakabamba kwa kuwa ana pasi ya Bongo na alikuwa anaishi kama mbongo. au ............

Sasa ukishakuwa Waziri kuna cha kujificha tena. Ila bado Serikali yetu wanaweza kuwa hawajui kuwa amekuwa Waziri.

Prof. Rwaka siyo mbaya kiukweli na huko kwao wanaruhusiwa kuwa na raia zaidi ya moja na familia yake iko Bukoba kwa nshomile na watoto wake wengine wanafanya kazi Ikulu ya Rwanda na wengine wako Bongo, Tatizo katiba yetu hairuhusu kuwa na raia zaidi ya moja. Na hawa watu hata wakiwa na raia mbili wanapenda sana kwao kuliko sisi Wabongo tunavyopenda kwetu. angalia akina Prof. Rwakabamba, engineer Butare na wengineo wengi Wanatumia UTZ lakini wote wako Rwanda wanajenga kwao. Kiukweli hawana makosa makosa ni yetu sisi tuliolala Usingizi.
 
lwakabamba.jpg




Professor Silas Lwakabamba, Ni Mtanzania wa kwanza kwenda kufungua Chuo ambacho leo hii kinaonekana kama ni mfano wa kuigwa katika Bara la Africa, yaani ni chuo cha Kigali Institute of Technology KIST, yaani ni Chuo cha mfano kwa sababu ni Wanafunzi wake wanaenda moja kwa moja kwa Community base kuwasaidia katika kufanga vyombo mbalimbali na kuona Rwanda inapiga hatua katika maendeleo.

Rais Paul Kagame baada ya vita iliyotokea mwaka 1994 aliamua kwenda UDSM na kuwaomba baadhi ya walimu kwenda naye Kigali kufungua chuo hicho katika Taifa la Rwanda, na katika hali ilivyokuwa alichukuliwa Professor Silas Lwakabamba kuwa RECTOR wa kwanza huko na kukuboresha chuo hicho. Lakini Sisi Tunanzisha vyuo vyetu Tanzania na watu hawa wako wapi jamani. Inatia uchungu sana kuona Taifa ambalo linashindwa kuwatumia watu wake na kuonekana sehemu nyingine.

Yupo wapi Silas Lwakabamba na anafundisha wapi?? Tanzania inakuhitaji sana katika kufanya na kutuimia elimu yako.

Wadau kama wanajua alipo basi wajitokeze hapa
CV yake hii hapa chini
Silas LWAKABAMBA (Chairman of Board of Rwanda Information Technology Authority — RITA & Rector of National University of Rwanda)

Professor Silas Lwakabamba has been Rector at the National University of Rwanda (NUR) since July 2006. He received his PhD in Mechanical Engineering from the University of Leeds, England, in 1975, and subsequently worked as Head of the Department of Mechanical Engineering, Associate Dean, and Dean of the Faculty of Engineering at the University of Dar-es-Salaam, Tanzania, for 10 years.

In 1985, Prof. Silas Lwakabamba joined the UN-Sponsored African Regional Centre for Engineering Design and Manufacturing (ARCEDEM), based in Nigeria, as a founding Director of Training and Extension Services. For 12 years, he was responsible for organizing many workshops and training programmes for the benefit of the entire region. It is from this post that Prof. Lwakabamba was called in 1997 by the Government of Rwanda to establish the Kigali Institute of Science Technology and Management (KIST). He held the position of Rector of KIST from October 1997 to June 2006 when he was transferred to the position he currently holds as Rector at NUR.

Since 1975, Prof. Lwakabamba has been a member of several boards and committees at the national, sub-regional and international levels. These include membership of the Executive Board of UNESCO, African Virtual University (AVU) Board of Directors, Governing Council for Africa of the International Association of University Presidents (IAUP), Chairperson of the Board of Directors of the Rwandan Parastatal telephone company (RwandaTel), Chairperson of the Rwanda Information Technology Authority (RITA), President of the Institution of Engineers of Rwanda, amongst others.

In November 2001, he was elected a Fellow of the World Innovation Foundation based in UK, in February 2003, he was awarded the UICEE Silver Badge of Honour for Distinguished Contributions to Engineering Education at the 6th UICEE Annual Conference on Engineering Education, held in Cairns, Australia, and in November 2005, he received an Honourary Doctor of Technology Degree from Glasgow Caledonian University in the United Kingdom.

He has had over 50 articles published in international journals and conference proceedings in the areas of combustion, higher education, science and technology, energy and power production.

Kagame appoints don of Tanzanian
origin minister Wednesday, 27 February 2013 22:01 By The Citizen Correspondent
Kigali. President Paul Kagame of
Rwanda has appointed a professor of
Tanzanian origin, Silas Lwakabamba, as
his minister for Infrastructure in a
cabinet reshuffle announced on Tuesday. President Kagame reshuffled his cabinet
bringing in new faces as well as
creating new portfolios.
Among the new faces in the cabinet
include Prof Lwakabamba, who
originates from Tanzania. According to information obtained from
The Citizen sources in Rwanda, Kagame
has been satisfied and impressed by
Prof Lwakabamba’s performance in
various posts he has been holding. He
has also granted him Rwandese nationality. The source said Rwandese have also
commended the head of state for
putting interests of Rwanda first when
appointing Prof Lwakabamba. “The people here in Kigali have
commended the appointment and they
praise President Kagame...I have not
heard anyone complain on the origin or
nationality of the appointed minister,”
said the source. Born and educated in Tanzania, Prof
Silas Lwakabamba went to the
University of Leeds in the UK for his
training in Engineering. After
graduating with a BSc (1971) and a PhD
(1975) in Mechanical Engineering, he returned to Tanzania to join the staff of
the Faculty of Engineering, which had
just started at the University of Dar es
Salaam.
He progressed rapidly through the
ranks and attained his professorship in 1981. He gained managerial experience
along the way. He became Head of Department,
Associate Dean, and eventually Dean of
the Faculty of Engineering. In 1985, Prof
Lwakabamba joined the UN- sponsored
African Regional Centre for Engineering
Design and Manufacturing (ARCEDEM) based in Nigeria, as a founding Director
of Training and Extension Services. He became the founding Rector of
Rwanda’s Kigali Institute of Science and
Technology (KIST) in 1997, and, in 2006,
he was appointed the Rector of the
National University of Rwanda, the
largest public institution of higher learning in that country, a position he
occupied until Tuesday’s appointment.
 
Kagame appoints don of Tanzanian
origin minister Wednesday, 27 February 2013 22:01 By The Citizen Correspondent
Kigali. President Paul Kagame of
Rwanda has appointed a professor of
Tanzanian origin, Silas Lwakabamba, as
his minister for Infrastructure in a
cabinet reshuffle announced on Tuesday. President Kagame reshuffled his cabinet
bringing in new faces as well as
creating new portfolios.
Among the new faces in the cabinet
include Prof Lwakabamba, who
originates from Tanzania. According to information obtained from
The Citizen sources in Rwanda, Kagame
has been satisfied and impressed by
Prof Lwakabamba's performance in
various posts he has been holding. He
has also granted him Rwandese nationality. The source said Rwandese have also
commended the head of state for
putting interests of Rwanda first when
appointing Prof Lwakabamba. "The people here in Kigali have
commended the appointment and they
praise President Kagame...I have not
heard anyone complain on the origin or
nationality of the appointed minister,"
said the source. Born and educated in Tanzania, Prof
Silas Lwakabamba went to the
University of Leeds in the UK for his
training in Engineering. After
graduating with a BSc (1971) and a PhD
(1975) in Mechanical Engineering, he returned to Tanzania to join the staff of
the Faculty of Engineering, which had
just started at the University of Dar es
Salaam.
He progressed rapidly through the
ranks and attained his professorship in 1981. He gained managerial experience
along the way. He became Head of Department,
Associate Dean, and eventually Dean of
the Faculty of Engineering. In 1985, Prof
Lwakabamba joined the UN- sponsored
African Regional Centre for Engineering
Design and Manufacturing (ARCEDEM) based in Nigeria, as a founding Director
of Training and Extension Services. He became the founding Rector of
Rwanda's Kigali Institute of Science and
Technology (KIST) in 1997, and, in 2006,
he was appointed the Rector of the
National University of Rwanda, the
largest public institution of higher learning in that country, a position he
occupied until Tuesday's appointment.
Hivi orign maana yake nini. Yule alikuwa MTZ wa kujisajili sio wa kuzaliwa. that's why karudia orign yake unyaru.
 
Huyu Jamaa kweli gwiji kubwa sana katika fani ya hiyo ambayo kama kweli Watanzania wangeona anafaa basi angeweza kuwa msaada mkubwa sana katika Tanzania
 
Kweli Kama Taifa hili tungeliona haya yote basi Kagame anawaza mbali sana kuliko sisi. KIST ya kule Rwanda wanakwenda mpaka vijijini na kwenda kuwafungia watu madish haya ambayo leo Tanzania tunasema satellite hivyo kuna umuhimu mkubwa sana kwa serikali yetu kuwapenda na kuwathamini watu kama hawa
 
Kweli Kama Taifa hili tungeliona haya yote basi Kagame anawaza mbali sana kuliko sisi. KIST ya kule Rwanda wanakwenda mpaka vijijini na kwenda kuwafungia watu madish haya ambayo leo Tanzania tunasema satellite hivyo kuna umuhimu mkubwa sana kwa serikali yetu kuwapenda na kuwathamini watu kama hawa
Ki -ukweli nampa sifa moja tu ni mchapakazi hodari hana longolongo alipokuwa KIST walikuwa wanaiita ya WTZ alivyohamishwa tu WTZ wote wakafukuzwa siku hizi KIST jina, sio ileeeeeeeeeeee.

Naona hatimaye ameamua abaki na uzalendo wake. ila pasi yetu vipi? maana hakuna awezaye kuwatumikia mabwana wawili.

Halafu Rwanda wana asili moja kuwatumia wageni kwa muda wakisha pata wanachohitaji wanakutosa. halafu wao wanaendelea. ndio maana kwao huwezi kukuta eti sekta muhimu zimebinafsishwa only in TZ tulibinafsisha mpaka management ya Tanesco kwa makaburu, Tumebinafsisha shirika la ndege leo liko wapi, angalia Reli wale wahindi walivyo tufanya? kweli chezea shamba ya bibi weye. hayo madini aku. mpaka miaka mia. tuachiwe mashimo yetu. na mikataba feki. yaani tumeuzwa. kwa mfano hayo madini yangekuwa ndio wao wanayo nafikiri hivi sasa management wangekuwa ni wao tu na hata viwanda vya kusafisha na kuchakata vito vingekuwa vimejengwa. sura nyeupe wangekuwa washauri tu. si unaona wanavyoshirikiana kuwapelekesha Wakongo.
 
Back
Top Bottom