Huyu jamaa naskia alimsainisha mkataba wa ulaghai Saida, kama alivo fanya Karl Peters kwa chief Mangungo, yaani naskia ni "bogus treaty" kabsaa
Saida kaja kustuka mambo yalisha haribika, Saida kwenye kazi zake kwa sasa hata sh. Kumi hapati.
*Sijui Saida alileta mapenzi kwenye kazi. Sijui ligha ilikuwa haipandi!!! Kwa kweli inauma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Saida alikuwa Boya kumbuka alimtoa kijijini na kumleta mjini gafla...
Alikuwa hajui chochote
Alimuamini SANA fm....alikuwa hajui punish mikataba wala nini alikuwa mweupe lazime apigwe tuu.....wasanii hawa wametoka mbali SANA aise[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ba baada ya matumizi yake kuisha aka mrudisha kijijini.
Halafu jamaa huwa linajivunia lina sema ile ni jasho lake eti
DaaahAlimuamini SANA fm....alikuwa hajui punish mikataba wala nini alikuwa mweupe lazime apigwe tuu.....wasanii hawa wametoka mbali SANA aise
Afya yake yenyewe syo kivile mzee muta sjui anasumbuliwa na kisukari auDaaah
Ndio bas tena , na jamaa bado ana piga hela tuu, yapasa awe ana mpa hata kidogo, ile ki ubinadamu
DaaahAfya yake yenyewe syo kivile mzee muta sjui anasumbuliwa na kisukari au
Ila tu wasanii ni kutojielewaaaa Ila kwa saida ilikuwa lazima apigwe maana alikuwa mweupeeee......
Wasanii wametoka mbali Wakina sugu walikuwa wanaimba wanagombania mike......WANAKUJA KULIKUWA NA MASKANI MOJA INAUTWA INDIANAPOLIS ILIKUWA BLOCK 41 WALIWASAIDIA SANA WASANAIII YAANI WALIKUWA KAMA MAPROMOTA
SUGU UTAMUONA NA DOLA SOUL WANAKUJA KUOMBA TAFF .....LAKINI LEO HII WATU WAMETUMIA NAFASI
Ova
Hahaha.....zamani pool side wasanii wana perform jukwani bila malipo.....kushika mike ndiyo malipo yako........ Nawakumbuka KU CREW,mac muga,wagumu weusi asilia,diplomatz,ilikuwa burdani.....Daaah
Mkuu inaonekana historia ya music uko fit
Ntakutafuta kwa muda wangu
*ntamleta hata Saida umpe ilm kidogo [emoji1]
Mac Muga,alikuwa ni msanii?Hahaha.....zamani pool side wasanii wana perform jukwani bila malipo.....kushika mike ndiyo malipo yako........ Nawakumbuka KU CREW,mac muga,wagumu weusi asilia,diplomatz,ilikuwa burdani.....
Kitambo SANA hiyo.....alikuwa anasoma tambaza.....Mac Muga,alikuwa ni msanii?
Mac Muga wa tambaza na yule alieimbwa na diamond ni mtu mmoja?Kitambo SANA hiyo.....alikuwa anasoma tambaza.....
Tofauti kabisa.....YULE alyeimbwa na kibaMac Muga wa tambaza na yule alieimbwa na diamond ni mtu mmoja?
Huyu jamaa naskia alimsainisha mkataba wa ulaghai Saida, kama alivo fanya Karl Peters kwa chief Mangungo, yaani naskia ni "bogus treaty" kabsaa
Saida kaja kustuka mambo yalisha haribika, Saida kwenye kazi zake kwa sasa hata sh. Kumi hapati.
*Sijui Saida alileta mapenzi kwenye kazi. Sijui ligha ilikuwa haipandi!!! Kwa kweli inauma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi mkuu mwambie bi saida aanze kufanya resistance na struggles for independence
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We ulikuwa mwanafunzi safi
Sasa afanye
Passive resistance
Au active resistance!!?
Hahahaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Iliyoko ndani ya uwezo wake ila kwa hali ilivyofikia active resistance ndio inahusika haswaa
Lakini aangalie akizidiwa asijekujifanya kama yule jamaa yetu shujaa wa wala dog kwa mujibu wa brainwash ya wenye pua ndefu