Yupo wapi Refa wa Yanga Ramadhani Kayoko?

Yupo wapi Refa wa Yanga Ramadhani Kayoko?

Mitaa ya TMK squad. Yupo vizuri kifedha siku hizi.
 
Tuliachananae baada yakitumbua kuingia mchanga
 
Comment za utopolo zinanivunja mbavu...
Kayoko mshenzi yule sitakaa nimsahau..
Amebakiza macho tuu kwa sasa..tutayavuta tuyatoe nje yaning'inie
 
si inasemwa huyu kayoko ni Afande ila sijui wa jeshi gani nchini..atakuwa kozi huyu
 
Back
Top Bottom