OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?
Yupo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifungiwa na kupigwa faini ya Milion 10 tukamlipia. Tulikubaliana afungiwe kimya kimyaMara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?
Hela za Injinia hizoMitaa ya TMK squad. Yupo vizuri kifedha siku hizi.
GSM.Hela za Injinia hizo
mjifunge wenyewe mmsingizie refa.Alikutwa na metheji ya muamala kutoka kwa chura,
Ujue nakuheshimu sana we bintYuko wapi Tatu Malogo? Mara ya mwisho alionekana akiwa kavaa jezi ya Makolo na mechi aliyopangiwa kuichezesha akaondolewa kimyakimya.
Ila mbona goli mlijiweka wenyewe wwaahComment za utopolo zinanivunja mbavu...
Kayoko mshenzi yule sitakaa nimsahau..
Amebakiza macho tuu kwa sasa..tutayavuta tuyatoe nje yaning'inie
Kafungiwa na nani? Na kwa nini?Active huyu si kafungiwa?
Why?yupo anadunda tu kama kawaida.Utamuonaje na wakati tangu achezeshe Derby ameanza kutembea akiwa amevaa baibui mtaani?
Weeeeh... Huyu tatu huyu huyu?Yuko wapi Tatu Malogo? Mara ya mwisho alionekana akiwa kavaa jezi ya Makolo na mechi aliyopangiwa kuichezesha akaondolewa kimyakimya.
Kabakiza macho viungo vingine kapeleka wapi?Comment za utopolo zinanivunja mbavu...
Kayoko mshenzi yule sitakaa nimsahau..
Amebakiza macho tuu kwa sasa..tutayavuta tuyatoe nje yaning'inie
Atakuwa kapewa cheo Jangwani kama zawadi kwa kuitumia Yanga kwenye pitch kwa muda mrefu.Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko.
Yupo wapi?