Yupo wapi ROHO 7

Yupo wapi ROHO 7

Pia kuna watu kama kina masota kwa sasa marehemu aliimba baada ya kuingia chomboni akaacha kama roho 7, wapo pia kina magazijuto nadhani yupo tanesko na jamaa kibao tu kina balozi n.k
Huyo masota alikuwa komando kabisa kama sikosei na nyota mbili
 
mkuu utakua unafahamu basi, jamaa unakuambia ukweli unabisha nini, roho 7 ni luten kanal na kamuoa yule demu wake alieimba nae farida nahisi baridi wana two kids sasa.
 
  • Thanks
Reactions: EEX
mkuu utakua unafahamu basi, jamaa unakuambia ukweli unabisha nini, roho 7 ni luten kanal na kamuoa yule demu wake alieimba nae farida nahisi baridi wana two kids sasa.
Sasa mkuu jamaa kasema ni Lt. Col au Col ebu rejea kule kisha linganisha jibu lako na lake. Mimi nilisema hajafika huko.
 
mkuu utakua unafahamu basi, jamaa unakuambia ukweli unabisha nini, roho 7 ni luten kanal na kamuoa yule demu wake alieimba nae farida nahisi baridi wana two kids sasa.
roho 7 kawahi kuimba na demu yoyote kweny ngoma zake!???
 
Unaijua chorus ya WAITE POLISI.??
Umeimba wewe.??
nmeulza, ulitakiwa ujibu ndio au hapana. Unamjua Amba? ambaye ndiye producer wa nyimbo za Roho 7
Jamaa Ni mkali sana wa sound effects sikiliza ngoma ya Yaki inaitwa Tonight halafu uniambie kamshirikisha demu gani.
Siku zote nlikuwa najua Ni sound effects Ile chorus ya Waite police.m
 
Hapana, Ni Captain. MP Commander kule Arusha SMV
Mi nimebishiwa humu nikaona nikae kimya tu toka kapata kamisheni kufika hicho cheo walichodai bado tena mtu anakubishia kabisa na kusema humjui wakati huo aelewi chochote
 
Mi nimebishiwa humu nikaona nikae kimya tu toka kapata kamisheni kufika hicho cheo walichodai bado tena mtu anakubishia kabisa na kusema humjui wakati huo aelewi chochote
Achana nao mkuu, watu wengine huwa wanabisha Mambo tu hata kama hawajui
 
namjua Amba vizur, na najua kuhusu Sound effects zake , hata wimbo wa Temba - Maneno nawafunza pia kafanya s.effects za kibabe..

ila kwenye Waite polisi kuna demu kaimba chorus...
nmeulza, ulitakiwa ujibu ndio au hapana. Unamjua Amba? ambaye ndiye producer wa nyimbo za Roho 7
Jamaa Ni mkali sana wa sound effects sikiliza ngoma ya Yaki inaitwa Tonight halafu uniambie kamshirikisha demu gani.
Siku zote nlikuwa najua Ni sound effects Ile chorus ya Waite police.m
 
Back
Top Bottom