Yupo wapi siku hizi?

Mama Terry hivi alienda wapi vile! Yule wa Ushauri nasaha Tulimkoma kipindi kile...
Mama Terry yupo anakula fedha za TCRA wamemdhamini kwenye kipindi cha TEHAMA vinarushwa sana kwenye TV vipindi vyake.
 
Mez b alifariki
 
Daah..nimewaona hapi BDP..aisee watu tumetoka mbali bwana...

"Sometime tunafanya kazi hatari sana ..Majobless jobless"
 
Suma g..mzee wa uswahilini kuna vituko
 
Benja wa mambo jambo tunafanya mambo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…