Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Acha uongo!
Dogo alikua ana jua kuimba na kuchana sana. Kuna ngoma nyingine 'Unapopata Tumia unapokosea Tulia" chorus wameimba kina Mandojo.
Ilikuwa inaitwa Starehe na Fedha..K sal ft Man dojo&Domo kaya
 
Hizi ngoma ninazo toka kitambo.ndo ninazosikiliza karibu kila siku kuliko kusikiliza manyimbo ya siku hizi.kukusaidia pakuzipata baadhi tafuta uzi flani humu unasomeka "wimbo gani ulioutafuta bila mafanikio"? Humo wadau wametiririsha sana hizi mambo
Wimbo wa Mike T. - Mic
 
Tabia wa kidedea si alidead miaka ya mwanzoni 2000..
 
Tabia was kidedea...binti kikojoz

Jiti...ndoto tata


Kibakuli na mama Abdul...mambo hayo


Bab Lee..kizizi
Mama Abdull kama ndo yule kimbao anaongea kama cherehani, yuko mambo tv kama sikosei bado anaigiza
 
Back
Top Bottom