R.I.P MabovuKuna wengine akina
Geez mabovu
Voice wonder
Solo thang
Uvc team
Jaffarai
Mchizi mox n.k
Sijui wako wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P MabovuKuna wengine akina
Geez mabovu
Voice wonder
Solo thang
Uvc team
Jaffarai
Mchizi mox n.k
Sijui wako wap
Ilikuwa inaitwa Starehe na Fedha..K sal ft Man dojo&Domo kayaAcha uongo!
Dogo alikua ana jua kuimba na kuchana sana. Kuna ngoma nyingine 'Unapopata Tumia unapokosea Tulia" chorus wameimba kina Mandojo.
Sinta huwa namuona pale Saiffee hospital ni muajiliwaahaa safi.Na yule sinta aliyepigwa denda mpaka gari ikashindwa kwenda yu wapi? je na yule nora nae yu wapi?
Wimbo wa Mike T. - MicHizi ngoma ninazo toka kitambo.ndo ninazosikiliza karibu kila siku kuliko kusikiliza manyimbo ya siku hizi.kukusaidia pakuzipata baadhi tafuta uzi flani humu unasomeka "wimbo gani ulioutafuta bila mafanikio"? Humo wadau wametiririsha sana hizi mambo
Sana Moja ya kazi nzuri za mwanzoni kabisa jumba la dhahabu,Grocery au baa ? Jamaa alitamba sana town na watoto wakali
Mama Abdull kama ndo yule kimbao anaongea kama cherehani, yuko mambo tv kama sikosei bado anaigizaTabia was kidedea...binti kikojoz
Jiti...ndoto tata
Kibakuli na mama Abdul...mambo hayo
Bab Lee..kizizi
Ni kweli alirest in paradise,na mzee Jengua naeTabia wa kidedea si alidead miaka ya mwanzoni 2000..
Ilikua 2002 kama sikoseiMaskini ndio nasikia leo
Jengua si mwaka jana tu,, ila huyo tabia ndo alikua akiigiza kama mtoto wa jengua back then 1999,, alikua crush wangu yule binti bana😥Ni kweli alirest in paradise,na mzee Jengua nae
Nadhani anaishi AustriaYuko wapi msanii hard mad?
Is he alive?
Sawa mkuuNadhani anaishi Austria
Daah muda unakimbia sana, sasa hivi kashakuwa marehemuCpwaa yupo dunia ya insta huko huwa namuona tena anatumia jina hilo hill mzee wa bata huyo