Yupo wapi siku hizi?

Marlaw anafaid msambwanda wa besta uko

Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..

Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Nilimmis sana Dulayo sasa hivi ni mlevi anaishi maeneo ya banana. Ni mlevi mpka anaomba bia
 
Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?

yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
 
Nlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Anatumia jina gani insta ? Hivi si ndo alifanya chorus ya ntakufajena GK
 
yeah nami nimemkumbuka Edgar Fongo,Lady Gaga wa Tanzania wapo wapi hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…