Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nmemuona zamzam tu, nae nlikua sijui duh wapumzike kwa amani
linki hii utapata wote kuanzia Marehemu Zamzam na yeye, walikua watoto wa Jengua kimchezo
Ukisikia uchumba sugu ndio huo sasa shaa na master wapo muda khaaa ilitakiwa mtoto wao awe fomu wani tehYes SHAA...So baada ya Mastaer J kumtema wife ndo wanamingo na Shaa kumbe.
Soma habari hadi mwisho, maana tabia alifariki siku nyingi sana, humo kwenye link wamefanya rejea mwisho wa habari, Wapumzike kwa amaniNmemuona zamzam tu, nae nlikua sijui duh wapumzike kwa amani
Hahahahaaaa......uchumba sugu, nimechekaUkisikia uchumba sugu ndio huo sasa shaa na master wapo muda khaaa ilitakiwa mtoto wao awe fomu wani teh
Yes SHAA...So baada ya Mastaer J kumtema wife ndo wanamingo na Shaa kumbe.
Master J alisema mwaka huu anamuoa
Itakuwa poa
Nilimmis sana Dulayo sasa hivi ni mlevi anaishi maeneo ya banana. Ni mlevi mpka anaomba biaMarlaw anafaid msambwanda wa besta uko
Mb dog yupoo na mara ya mwisho alikua kwa meneja QS Mhonda..
Mbona Hamuuliz Sajna Wa Ivetha
Kina C.sir Madini
Ibra De Hustler
Kali P
Solid Ground Family
Dullayo
Top C
Mchizi mox yupo sana, juzi Kuna movie inaitwa wahuni kubwa ipo YouTube kacheza vizuri sanaaaaaWapi Mchizi Mox na Watu Pori? Mzee wa watu Kibao na Jaffarah bado yupo bize?
Saigoni nae yumo humo humo tena ana kipindi Radio iman anarap kidiniKumbe Suma kaamua kumuunga mkono Mzee Yusuph...
Anatumia jina gani insta ? Hivi si ndo alifanya chorus ya ntakufajena GKNlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Chorus ya sister sister, sijui anatumia jina gani nlimuona kapostiwa na shilawaduAnatumia jina gani insta ? Hivi si ndo alifanya chorus ya ntakufajena GK
Walihojiwa kwanini hawaoani eti bado wanachunguzana sijui miaka 12 naaa uchunguzi gani huo, uchunguzi au ugunduzi?!!Hahahahaaaa......uchumba sugu, nimecheka
Amuoe tu kwakweli make kama alimvisha pete ya uchumba bila shaka imetengeneza kutu kwenye kidoleMaster J alisema mwaka huu anamuoa