Roho 7Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?
yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
Amuoe tu kwakweli make kama alimvisha pete ya uchumba bila shaka imetengeneza kutu kwenye kidole
Paulina zongo alizalishwa na mtunisi akatelekezwa na ni mgonjwa hana msaada wa ndugu wala rafiki. Anaishi mitaani na kulala jua litakapotuaBila kusahau paulina zongo
Mirror tulikua nae huku sinza tunakula nae vikombe vya bukuSasa bosi wake alikuwa wema sepetu unategemea nn??
mirror angekuwa na management nyingine angekuwa anaimba mpka now
aisee ya kweli haya???Paulina zongo alizalishwa na mtunisi akatelekezwa na ni mgonjwa hana msaada wa ndugu wala rafiki. Anaishi mitaani na kulala jua litakapotua
yeah!Yeahh Roho Saba alikua anajua sana yule mwamba
-Alicom
-Mishi
-Ali Mbongo
-Angie
-Baucha
-BDP(Big Dog Posse)
-Benja Wa Mambo Jambo
-Blacc
-Caz T & Sarah
-Bon Cruz
-B Town Clan
-Bob Rudala
-Buibui
-Bwana Misosi
-YP & Y Dash
-Chelea Man
-Chiku Keto
-Chibwa
-D Knob
-Mez B
-Daz Nundaz
-Danny Msimamo
-Squeezer & Dataz
-Dk Leader
-Mabaga Fresh
-Mad Max
-Mac Dizzo
-Makamua & Q Jay
-Manzese Crew
-Jita Man
-O Ten
-OCG
-Noorah
-P1 Black
-E Smile
-I Two Kachaa
-Lil Gray
-Jacky Marie
-Bonta
-LWP
-M 2 The P
-Easy I
-Jose Mtambo
-Joslin
-Sister P
-Estaam
-Fatma wa Dibaji
-Luteni Karama
-Hafsa
-Soggy Doggy
-Solo Thang
-Zay B
-Gosby
-Ras Lion
-Renee Lamira
-Salu T
-Hongera
-Hard Mad
-Imam Abass
-Pasha
-Sonell
-Spack
-Zadao
-Steve RnB
-Stoppa Rhymes
-Planet 2000
-Simple X & Black Rhyno
-Rado
-Suma G
-TMK Majita
-Vumi
-Wandago
-Waswahili
-Yaki
Life Limemchapa na Umri PiaNlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Duuuh Nilimauchaga Ukonga magereza Enz IzooNilimmis sana Dulayo sasa hivi ni mlevi anaishi maeneo ya banana. Ni mlevi mpka anaomba bia
pamoja sana!Salute wewe jamaa you killed it!!
Umetaja watu ambao hata dunia iliwasahau Imam Abasi, LWP, Bob Rudala, Buibui Noma sanaaaa
Makamua Saivi anaigiza Moviee Wanakundi lao Linaitwa Bongohoods Pichaz Wanamuvi zao kali Tuu Huko youtube ... Q jay Nilisikia aliokoka-Alicom
-Mishi
-Ali Mbongo
-Angie
-Baucha
-BDP(Big Dog Posse)
-Benja Wa Mambo Jambo
-Blacc
-Caz T & Sarah
-Bon Cruz
-B Town Clan
-Bob Rudala
-Buibui
-Bwana Misosi
-YP & Y Dash
-Chelea Man
-Chiku Keto
-Chibwa
-D Knob
-Mez B
-Daz Nundaz
-Danny Msimamo
-Squeezer & Dataz
-Dk Leader
-Mabaga Fresh
-Mad Max
-Mac Dizzo
-Makamua & Q Jay
-Manzese Crew
-Jita Man
-O Ten
-OCG
-Noorah
-P1 Black
-E Smile
-I Two Kachaa
-Lil Gray
-Jacky Marie
-Bonta
-LWP
-M 2 The P
-Easy I
-Jose Mtambo
-Joslin
-Sister P
-Estaam
-Fatma wa Dibaji
-Luteni Karama
-Hafsa
-Soggy Doggy
-Solo Thang
-Zay B
-Gosby
-Ras Lion
-Renee Lamira
-Salu T
-Hongera
-Hard Mad
-Imam Abass
-Pasha
-Sonell
-Spack
-Zadao
-Steve RnB
-Stoppa Rhymes
-Planet 2000
-Simple X & Black Rhyno
-Rado
-Suma G
-TMK Majita
-Vumi
-Wandago
-Waswahili
-Yaki
Wengi wakipotea kwenye gem au kupoteza umaarufu ndo wanamkumbuka Muumba!!!! Wakiwa kileleni wanakula raha tu!Yeahh mbona kitamboo saana Hata Pico Yule Wa Kikongwe Na Swaga Nae Yupo Huko
Jebi Alifariki mwakajana
Yeahh Yupo HukoNyamayao yuko beijing china anatafsili star swahili
ebwana eehh hiyo ya Mez B sikukumbuki kama nilishapata hiyo taarifa aisee!!Makamua Saivi anaigiza Moviee Wanakundi lao Linaitwa Bongohoods Pichaz Wanamuvi zao kali Tuu Huko youtube ... Q jay Nilisikia aliokoka
Pasha alisema alikua Kenya et
Steve RnB yupo tuuuh
Zay B yupp alitoaga kanyimbo na Mr.Blue
Bonta Ni Daktar Yupo kahama saana
Soggy dog namuonaga Instaa Nae Yupoo tuuuh
YP KAshafariki YDaah cjui Alipo
Benja wa mambo jambo saivi Ni Director Wa Video
Mes B alishafariki Mda tuuh
na alianza vizuri sana...shida sijui ikawa nini tenaKweli ngoja wa wanajukwaa waje waseme wapi wapi hao miamba ila nimemkumbuka sana Chiku Keto kuanzia BSS mpaka kwa Chidi Benzu