Yupo wapi siku hizi?

-Alicom
-Mishi
-Ali Mbongo
-Angie
-Baucha
-BDP(Big Dog Posse)
-Benja Wa Mambo Jambo
-Blacc
-Caz T & Sarah
-Bon Cruz
-B Town Clan
-Bob Rudala
-Buibui
-Bwana Misosi
-YP & Y Dash
-Chelea Man
-Chiku Keto
-Chibwa
-D Knob
-Mez B
-Daz Nundaz
-Danny Msimamo
-Squeezer & Dataz
-Dk Leader
-Sir-leh
-Mabaga Fresh
-Mad Max
-Mac Dizzo
-Makamua & Q Jay
-Manzese Crew
-Jita Man
-O Ten
-OCG
-Noorah
-P1 Black
-E Smile
-I Two Kachaa
-Lil Gray
-Jacky Marie
-Bonta
-LWP
-M 2 The P
-Easy I
-Jose Mtambo
-Joslin
-Sister P
-Estaam
-Fatma wa Dibaji
-Luteni Karama
-Hafsa
-Soggy Doggy
-Solo Thang
-Zay B
-Gosby
-Ras Lion
-Renee Lamira
-Salu T
-Hongera
-Hard Mad
-Imam Abass
-Pasha
-Sonell
-Spack
-Zadao
-Steve RnB
-Stoppa Rhymes
-Planet 2000
-Simple X & Black Rhyno
-Rado
-Suma G
-TMK Majita
-Vumi
-Wandago
-Waswahili
-Yaki
 
Paulina zongo alizalishwa na mtunisi akatelekezwa na ni mgonjwa hana msaada wa ndugu wala rafiki. Anaishi mitaani na kulala jua litakapotua
aisee ya kweli haya???
 
Wapi wapi hawa .
- K basil
- Bob rudala
- Yule dada aliyeimba wimbo (Tupendane) in African Band.
- Juma mjivuni (watu poli)
-Tudy thomas wa Ngoma record
- kali p (imekaa vibaya)
 

Salute wewe jamaa you killed it!!
Umetaja watu ambao hata dunia iliwasahau Imam Abasi, LWP, Bob Rudala, Buibui Noma sanaaaa
 
Makamua Saivi anaigiza Moviee Wanakundi lao Linaitwa Bongohoods Pichaz Wanamuvi zao kali Tuu Huko youtube ... Q jay Nilisikia aliokoka

Pasha alisema alikua Kenya et

Steve RnB yupo tuuuh

Zay B yupp alitoaga kanyimbo na Mr.Blue
Bonta Ni Daktar Yupo kahama saana
Soggy dog namuonaga Instaa Nae Yupoo tuuuh
YP KAshafariki YDaah cjui Alipo
Benja wa mambo jambo saivi Ni Director Wa Video
Mez B alishafariki Mda tuuh
 
ebwana eehh hiyo ya Mez B sikukumbuki kama nilishapata hiyo taarifa aisee!!
hivi hajaolewa tu huyo Zay B?
 
Kweli ngoja wa wanajukwaa waje waseme wapi wapi hao miamba ila nimemkumbuka sana Chiku Keto kuanzia BSS mpaka kwa Chidi Benzu
na alianza vizuri sana...shida sijui ikawa nini tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…