Kali P kuna mtu kasema kawa ustaadh siku hiziWapi wapi hawa .
- K basil
- Bob rudala
- Yule dada aliyeimba wimbo (Tupendane) in African Band.
- Juma mjivuni (watu poli)
-Tudy thomas wa Ngoma record
- kali p (imekaa vibaya)
Ndo Ivo kashafarikiebwana eehh hiyo ya Mez B sikukumbuki kama nilishapata hiyo taarifa aisee!!
hivi hajaolewa tu huyo Zay B?
Roho SabaWapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?
yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
Huyo Mad Max kuna ngoma yake moja aliimba na masister flan hivi (bila shaka ni unique sisters) naitafuta sana.-Alicom
-Mishi
-Ali Mbongo
-Angie
-Baucha
-BDP(Big Dog Posse)
-Benja Wa Mambo Jambo
-Blacc
-Caz T & Sarah
-Bon Cruz
-B Town Clan
-Bob Rudala
-Buibui
-Bwana Misosi
-YP & Y Dash
-Chelea Man
-Chiku Keto
-Chibwa
-D Knob
-Mez B
-Daz Nundaz
-Danny Msimamo
-Squeezer & Dataz
-Dk Leader
-Sir-leh
-Mabaga Fresh
-Mad Max
-Mac Dizzo
-Makamua & Q Jay
-Manzese Crew
-Jita Man
-O Ten
-OCG
-Noorah
-P1 Black
-E Smile
-I Two Kachaa
-Lil Gray
-Jacky Marie
-Bonta
-LWP
-M 2 The P
-Easy I
-Jose Mtambo
-Joslin
-Sister P
-Estaam
-Fatma wa Dibaji
-Luteni Karama
-Hafsa
-Soggy Doggy
-Solo Thang
-Zay B
-Gosby
-Ras Lion
-Renee Lamira
-Salu T
-Hongera
-Hard Mad
-Imam Abass
-Pasha
-Sonell
-Spack
-Zadao
-Steve RnB
-Stoppa Rhymes
-Planet 2000
-Simple X & Black Rhyno
-Rado
-Suma G
-TMK Majita
-Vumi
-Wandago
-Waswahili
-Yaki
[emoji2]Peter Manyika alikua beki wa Yanga?? Aisee
Dah noma sana kina Ay na mwana fA wame mwacha mwezaoPaulina zongo alizalishwa na mtunisi akatelekezwa na ni mgonjwa hana msaada wa ndugu wala rafiki. Anaishi mitaani na kulala jua litakapotua
Hata John maundi Nae Aliwaacha HahaDah noma sana kina Ay na mwana fA wame mwacha mwezao
Ksal alikuwa hajui kuimba alibahatisha wimbo mmoja tu MKIWA ambao feruzi aliubeba kama Wa kwake. So kupotea ilikuwa ni lazimaFrola nduchaaaa dah way back
Ksal sijui kapotelea wapi huyu mchizi
Ndo yupo hapo mzee baba nasikia hana life kabisa. Amepinda kwelikweli.Duuuh Nilimauchaga Ukonga magereza Enz Izoo
Daaah Noma SaaanaNdo yupo hapo mzee baba nasikia hana life kabisa. Amepinda kwelikweli.
Mama Abdul alifariki mwaka janaTabia was kidedea...binti kikojoz
Jiti...ndoto tata
Kibakuli na mama Abdul...mambo hayo
Bab Lee..kizizi
Anaitwa SHAAAYule dada aliyeimba wimbo wa SUGUA GAGA, Jina limenitoka. Yu wapi sijui?
Umetisha sana.-Alicom
-Mishi
-Ali Mbongo
-Angie
-Baucha
-BDP(Big Dog Posse)
-Benja Wa Mambo Jambo
-Blacc
-Caz T & Sarah
-Bon Cruz
-B Town Clan
-Bob Rudala
-Buibui
-Bwana Misosi
-YP & Y Dash
-Chelea Man
-Chiku Keto
-Chibwa
-D Knob
-Mez B
-Daz Nundaz
-Danny Msimamo
-Squeezer & Dataz
-Dk Leader
-Sir-leh
-Mabaga Fresh
-Mad Max
-Mac Dizzo
-Makamua & Q Jay
-Manzese Crew
-Jita Man
-O Ten
-OCG
-Noorah
-P1 Black
-E Smile
-I Two Kachaa
-Lil Gray
-Jacky Marie
-Bonta
-LWP
-M 2 The P
-Easy I
-Jose Mtambo
-Joslin
-Sister P
-Estaam
-Fatma wa Dibaji
-Luteni Karama
-Hafsa
-Soggy Doggy
-Solo Thang
-Zay B
-Gosby
-Ras Lion
-Renee Lamira
-Salu T
-Hongera
-Hard Mad
-Imam Abass
-Pasha
-Sonell
-Spack
-Zadao
-Steve RnB
-Stoppa Rhymes
-Planet 2000
-Simple X & Black Rhyno
-Rado
-Suma G
-TMK Majita
-Vumi
-Wandago
-Waswahili
-Yaki
dah hata sijui aisee..Wasanii wengi wanaishia kua maaustadhi. Hii ina maanisha nini?
hasa Crazy GKDah noma sana kina Ay na mwana fA wame mwacha mwezao
daah!Hata John maundi Nae Aliwaacha Haha
sio unamaanisha Mac Dizzo??Huyo Mad Max kuna ngoma yake moja aliimba na masister flan hivi (bila shaka ni unique sisters) naitafuta sana.