Yupo wapi siku hizi?

ebwana eehh hiyo ya Mez B sikukumbuki kama nilishapata hiyo taarifa aisee!!
hivi hajaolewa tu huyo Zay B?
Ndo Ivo kashafariki

Haha cjui kama kaolewa vp Unataka Ukachukue Jiko
 
Huyo Mad Max kuna ngoma yake moja aliimba na masister flan hivi (bila shaka ni unique sisters) naitafuta sana.
 
Umetisha sana.
But MEZ B (R.I.P)
 
Huyo Mad Max kuna ngoma yake moja aliimba na masister flan hivi (bila shaka ni unique sisters) naitafuta sana.
sio unamaanisha Mac Dizzo??
maana sikumbuki kama jamaa alifanyaga nyimbo nao....naweza rekebishwa lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…