Yupo wapi siku hizi?

Salu T yupo ,anatoa ngoma bado kama kawaida.
Dr.leader mara ya mwisho nilimwona tanga mikanjuni tairi 3 maskani tu akila kaya
 
Mama Terry Yupp TBC anaendesha Kipindi Cha Mambo Ya Mawasiliano Na Mtandao kila Ijumaa Saa 3 Usiku
 
Mkuu kweli mimi mara ya kwanza nilidhani nimefanisha kuna jamaa ndio akanihakikishia ndio mwenyewe na ana grocery yake maeneo ya Lukozi kwenda Mlalo.
Duh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…