Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Katika wachambuzi ambao nilikuwa nao bega kwa bega ni TOM CRUZ,
Huyu jamaa alikuwa yupo vyema sana kwenye habari mpya za kimichezo na burudani. Ila jamaa yupo kimya sana .,
5sep ndio ilikuwa post yake ya mwisho.
Sijui amekufa au kapatwa na nini.
Mwenye kufahamu anijuze pls
Huyu jamaa alikuwa yupo vyema sana kwenye habari mpya za kimichezo na burudani. Ila jamaa yupo kimya sana .,
5sep ndio ilikuwa post yake ya mwisho.
Sijui amekufa au kapatwa na nini.
Mwenye kufahamu anijuze pls