Yupo wapi TOM CRUZ?

Yupo wapi TOM CRUZ?

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Katika wachambuzi ambao nilikuwa nao bega kwa bega ni TOM CRUZ,
Huyu jamaa alikuwa yupo vyema sana kwenye habari mpya za kimichezo na burudani. Ila jamaa yupo kimya sana .,
5sep ndio ilikuwa post yake ya mwisho.
Sijui amekufa au kapatwa na nini.

Mwenye kufahamu anijuze pls
 

Attachments

  • Screenshot_20240928-161642.jpg
    Screenshot_20240928-161642.jpg
    482.9 KB · Views: 6
Back
Top Bottom