Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Ndyo niniKwenye Sega 🐼
Mazalio ya NyukiNdyo nini
Ndyo nini
Anabwia Tuu Asali,,,Njaa MchezoKwenye Sega 🐼
Huenda kalamba aswaliHuyu mwamba jasiri alikuja kwa kasi ya moto wa nyika ila kapotea ghafula.
Hatumsikii tena akitoa matamko juu ya ukiukwaji wa haki nchini. Mfano utekaji na kuenguliwa wagombea wa upinzani ktk mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Yupo wapiii?
Dah umenichekesha sana ....yupo kwenye bee hivesKwenye Sega 🐼
Makonda yupo serikalini hawezi kusema maovu ya serikalini, TLS mtetezi wa watu dhidi ya dhuluma za serikali. Wakili yupo wapi?Makonda unamsikia?
Ameshaonja asali hiyoHuyu mwamba jasiri alikuja kwa kasi ya moto wa nyika ila kapotea ghafula.
Hatumsikii tena akitoa matamko juu ya ukiukwaji wa haki nchini. Mfano utekaji na kuenguliwa wagombea wa upinzani ktk mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Yupo wapiii?
AMESHAPIGWA NA 150 mHuyu mwamba jasiri alikuja kwa kasi ya moto wa nyika ila kapotea ghafula.
Hatumsikii tena akitoa matamko juu ya ukiukwaji wa haki nchini. Mfano utekaji na kuenguliwa wagombea wa upinzani ktk mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Yupo wapiii?
Yupo busy na mradi wa samia legal aid.Si rais wa TLS au upo nchi gani kijana
Mbona hata mama yako anaweza kuwa mtetezi? Kwa nini unataka hiyo kazi aifanye mtu mmoja tu?Makonda yupo serikalini hawezi kusema maovu ya serikalini, TLS mtetezi wa watu dhidi ya dhuluma za serikali. Wakili yupo wapi?