Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Ni katika hali ya kawaida sana. Naangalia mechi ya Denmark na Armenia muda huu. Nikavutiwa na mchezaji mmoja wa ushambuliaji wa Denmark.
Maajabu naona baba ni Mtanzania na mama ni Mdanishi. Inawzakana kuna wengi ila tumekosa watu wa kufuatilia watu wa namna hii.
Soma zaidi: https://en.wikipedia.org/wiki/Yussuf_Poulsen
Maajabu naona baba ni Mtanzania na mama ni Mdanishi. Inawzakana kuna wengi ila tumekosa watu wa kufuatilia watu wa namna hii.
Soma zaidi: https://en.wikipedia.org/wiki/Yussuf_Poulsen
