WTF is this? LOL Watu wengine bana, huwa mna mawazo ya ki-angani angani bin ki-vaccum. Hivi unafikira huk Denmark hakuna majina mengine yasiyoishia na"sen"? Nicklas Bendtner, Daniel Agger, Peter Schmeichel wote wana majina tofauti na hayo ya "sen". Kwa hiyo ungekuwa Japan ungejiitaje? Kumbuka majina yao kwetu yanakuwa matusi eg Kumqmoto blah blah
Kitu kingine huyo dogo inaonekana tayari yupo katika timu ya taifa ya Denmark, kashacheza mechi 7 (wikipedia) kama ana damu ya Kibongo basi ndiyo imeshatoka hiyo. Tutabaki kushangilia sehemu yake nusu(upande wa baba'ke). Huwezi kumlaumu mtu kama huyu, hata kama ningekuwa mimi (au ndugu yangu)nisingechezea Bongo au kumshauri kuchezea Bongo wakati ana nafasi ya kuendeleza kipaji chake katika anga ya dunia. Vyama vyetu na viongozi wetu wa kiafrika/kitanzania hawana vision wala kujali maisha ya wachezaji badala yake wanawatumia kama punda au farasi kujinufaisha.