Yussuf Poulsen: Mtanzania anayekipiga na Timu ya Taifa ya Denmark

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
4,582
Reaction score
2,783
Ni katika hali ya kawaida sana. Naangalia mechi ya Denmark na Armenia muda huu. Nikavutiwa na mchezaji mmoja wa ushambuliaji wa Denmark.



Maajabu naona baba ni Mtanzania na mama ni Mdanishi. Inawzakana kuna wengi ila tumekosa watu wa kufuatilia watu wa namna hii.

Soma zaidi: https://en.wikipedia.org/wiki/Yussuf_Poulsen
 
Poulsen is the son of a Tanzanian father and a Danish mother.His father died of cancer when Yussuf was only 6 years old.
 
Manake bila picha sisi wana JamiiForums habari huwa haijakamilika:


Yussuf Poulsen
 

Mkuu umejenga hoja vizuri lakini hukuwa na sababu ya kuponda mawazo yangu! Pole sana Mkuu.
 
Angalia fifa rankng na nchi zilio kati ya nchi hizi mbili halafu nawe ujipime ungechezea timu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…