Yusuf Bakhresa pokea simu ya Mudathir kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya

mwehu mama yako aliyekuzaa chooni
Mama yangu mzazi ndio mama yako mzazi. Au hizi ID ndio zinakufanya ujiamini kiasi kwamba uone kama hauna ndugu humu JF? Mtu anayetukana wazazi huwa ana uwezo mdogo sana wa kufikiria.
 
Mama yangu mzazi ndio mama yako mzazi. Au hizi ID ndio zinakufanya ujiamini kiasi kwamba uone kama hauna ndugu humu JF? Mtu anayetukana wazazi huwa ana uwezo mdogo sana wa kufikiria.
sasa mimi na wewe nan ana uwezo mdogo wa kufikiri? Wewe si ndo umeanza kuniita mwehu? Mbona unakuwa mpumbavu hivyo?
 
Nje ya mada.
Nifah uko vizuri sana hapo kichwani. Kila nisomapo comments zako huwa ninajisemea moyoni..mmeo anamiliki dhahabu kama anajua namna ya kwenda na wewe.👍
 
LEO HII NADHANI WANAJILAUMU SANA WALIYEMUONA HAFAI SASA ANAWAFAA YOUNG AFRICANS, ANAKWENDA KUCHEZA ROBO FAINALI IKIWEZEKANA MPAKA FAINALI.
 
Sasa ana uwezo gani wa maana hadi azam wajutie kumuacha?
 
Ananshangilia kama Gabriel Jesus wa Arsenal
 
Mnatafuta millages Tu hapa hii ni aina ya ushangiliaji tu.
 
sasa mimi na wewe nan ana uwezo mdogo wa kufikiri? Wewe si ndo umeanza kuniita mwehu? Mbona unakuwa mpumbavu hivyo?
Pitia post namba 39 halafu nioneshe mimi nilikutusi wapi. Kama sio mpumbavu ni wewe unayekimbilia matusi
 
Nje ya mada.
Nifah uko vizuri sana hapo kichwani. Kila nisomapo comments zako huwa ninajisemea moyoni..mmeo anamiliki dhahabu kama anajua namna ya kwenda na wewe.👍
Jamani! Nashukuru sana Mkuu.

B… Mfikishie hizi salamu kaka mzuri, kuna ujumbe wake hapa.
Mdakuzi
 
Pitia post namba 39 halafu nioneshe mimi nilikutusi wapi. Kama sio mpumbavu ni wewe unayekimbilia matusi
Nani alikuambia mjinga ni tusi? Tafuta kamusi inayosema mjinga ni tusi. Halafu utakuta unajiita msomi kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…