Sio 15 ni 16 kuelekea 17 ila niliijua nikawa naperuzi kama mgeni bila ID kipindi nina miaka 15 kwa kiswaswadu kupitia freebasics .
Kuna watu hapa Jf tumeshare namba hawatoshangaa maana hata status zangu wanaona na kujua baadhi ya mambo kuhusu Mimi , mpaka mdau mmoja ambaye nipo nilikuwa nae kwenye Wasap grupu la DLS aliwahi kuniambia unavyopiga mikwara Jf nilidhani jitu kubwa kumbe dogo Tu. Na nikifikisha 25 InshaAllah nimepanga nioe hio sio chai uongo dhambi mkuu..