Yusuf Bakhresa pokea simu ya Mudathir kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya

Chai hii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜‚, ko Ume jiunga jf ukiwa 15 yrs๐Ÿ™„
Sio 15 ni 16 kuelekea 17 ila niliijua nikawa naperuzi kama mgeni bila ID kipindi nina miaka 15 kwa kiswaswadu kupitia freebasics .

Kuna watu hapa Jf tumeshare namba hawatoshangaa maana hata status zangu wanaona na kujua baadhi ya mambo kuhusu Mimi , mpaka mdau mmoja ambaye nipo nilikuwa nae kwenye Wasap grupu la DLS aliwahi kuniambia unavyopiga mikwara Jf nilidhani jitu kubwa kumbe dogo Tu. Na nikifikisha 25 InshaAllah nimepanga nioe hio sio chai uongo dhambi mkuu..
 
Basi tuko sawa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€, ila kuhusu kuoa bado Sana
๐Ÿ‘‰Labda hiyo 25 nizidi ku hustle, coz nina mipango mikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ