Yusuf Bakhressa aamua Kusajili mwenyewe

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Mmiliki wa timu ya Azam FC, Yusuf Bakhresa sasa ametangaza vita ya usajili kwa msimu ujao akiingia mwenyewe vitani kusaka wachezaji wa kimataifa na ligi za ndani msimu ujao 2022/23 na tayari wamemtambulisha Kipre Junior kiungo mshambuliaji kutoka Ivory Coast. Kupitia Instagram ameandika;

"Mashabiki zangu na mashabiki wa Azam FC, nimeamua sasa mtafurahi sana. Baada ya saa kinashuka chuma kingine, na kesho ndio balaa zaidi,"

#mwanaspoti
#mwanaspotiupdates

Tuonane Chamazi Msimu Ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…