Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Kama Tanesco walimlipa malipo yake yakiwa VAT inclusive uzembe ni wa Tanesco si wa alielipwa. Sawa na mwajiri amlipe mfanyakazi bila kukataa PAYE halafu umlaumu mfanyakazi. Hapo kosa litakuwa kama hakulipa VAT aliyoikata kwa aliowauzia bidhaa na au huduma zinazotozwa VAT
Makwega hujui VAT inavyooperate au kuna kitu umesahau. Manji alitoa huduma, yeye ni VAT registered. Anavyotoa invoice kwa Tanesco ana charge na VAT. Kwa maneno mengine Manji alikuwa ni mkusanyaji wa VAT (Maana alitoa taxable supply). Tanesco ni Mlaji au mtumiaji wa Huduma za Manji (yeye ni Final Consumer). Kwenye VAT system, Final Consumer ndiye anayebeba Mzigo wa VAT na mkusanyaji ni supplier wa Service.

Unachosema, kingekuwa kweli kama Kodi husika ilikuwa ni Withholding Tax (WHT) ambayo Mlipaji anatakiwa akate kabla hajamlipa supplier wa Service kama ilivyo katika "Section 84 of the Income Tax Act, 2004 (RE.2019).

Nitakupongeza Makwega kama utakuja hapa na kukiri kuwa umekosea kitu ulichokisema. Ahsante
 
Mfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya nchi .

Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru kamishna wa Polisi Said Hamduni, Manji anashikiliwa toka alipowasili nchini Tanzania akituhumiwa kukwepa kodi.

Kampuni zake za Intertrade Commercial LTD Service na Golden Globe International Service Limited zinatuhumiwa kwa kutolipa kodi ya VAT kati ya mwaka 2011 na 2015 wakati zikifanya biashara na Shirika la Umeme nchini Tanzania Tanesco Kupitia kampuni yake ya Golden Globe.

Kamishana Hamduni anasema kulifanyika udanganyifu wakati wa manunuzi ya kampuni ya Tigo.

Tuhuma nyingine inayomkabili ni kupitia kampuni yake ya Quality Group kuhusu mapato ya klabu ya Yanga ambayo alikuwa akiidhamini na kuiongoza kama mwenyekiti wakati huo.

Manji alitorokea nje ya nchi mwaka wa 2018 baada ya Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kumuachia huru pamoja na wenzie watatu mwezi Septemba 2017 walipokuwa wakituhumiwa kwa makosa saba ya uhujumu uchumi.

Alituhumiwa pia kuhujumu usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeza sare za jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania.

Manji amerejea nchini Tanzania siku chache baada ya Rais Samia Suluhu kuhimiza wafanyabiashara waliotoroka nchi kurejea na kuendelea na uwekezaji wao.

Chanzo: BBC
Mkuu tujuze kitakachokua kinaenderea
 
Utopolo ni kuwaacha wezi ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ufisadi wa Ndungai india upotevu wa trilion 1.5 kisha kuhangaika na Manji kwa kosa lingine ambalo siyo Rushwa
MTU MZIMA KUMEZESHWA UPOPOMA NA MWANAUME MWENZIO NA KUAMINI BILA KUFANYA UTAFITI NI UMAMA...ukiendelea hivyo utakuja kukikalia hicho kigogo
 
Makwega hujui VAT inavyooperate au kuna kitu umesahau. Manji alitoa huduma, yeye ni VAT registered. Anavyotoa invoice kwa Tanesco ana charge na VAT. Kwa maneno mengine Manji alikuwa ni mkusanyaji wa VAT (Maana alitoa taxable supply). Tanesco ni Mlaji au mtumiaji wa Huduma za Manji (yeye ni Final Consumer). Kwenye VAT system, Final Consumer ndiye anayebeba Mzigo wa VAT na mkusanyaji ni supplier wa Service.

Unachosema, kingekuwa kweli kama Kodi husika ilikuwa ni Withholding Tax (WHT) ambayo Mlipaji anatakiwa akate kabla hajamlipa supplier wa Service kama ilivyo katika "Section 84 of the Income Tax Act, 2004 (RE.2019).

Nitakupongeza Makwega kama utakuja hapa na kukiri kuwa umekosea kitu ulichokisema. Ahsante
Mkuu Soma post #205 nilishakiri kwamba nilitoa Boko.
 
MTU MZIMA KUMEZESHWA UPOPOMA NA MWANAUME MWENZIO NA KUAMINI BILA KUFANYA UTAFITI NI UMAMA...ukiendelea hivyo utakuja kukikalia hicho kigogo
Wewe tayari unapakatwa kwa kuamini uzushi juu ya Manji na umepakatwa zaidi pindi mwendazake akikutumia kutekeleza manyanyaso dhidi ya wakosoaji wa udikiteta wake
 
Mfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya nchi .

Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru kamishna wa Polisi Said Hamduni, Manji anashikiliwa toka alipowasili nchini Tanzania akituhumiwa kukwepa kodi.

Kampuni zake za Intertrade Commercial LTD Service na Golden Globe International Service Limited zinatuhumiwa kwa kutolipa kodi ya VAT kati ya mwaka 2011 na 2015 wakati zikifanya biashara na Shirika la Umeme nchini Tanzania Tanesco Kupitia kampuni yake ya Golden Globe.

Kamishana Hamduni anasema kulifanyika udanganyifu wakati wa manunuzi ya kampuni ya Tigo.

Tuhuma nyingine inayomkabili ni kupitia kampuni yake ya Quality Group kuhusu mapato ya klabu ya Yanga ambayo alikuwa akiidhamini na kuiongoza kama mwenyekiti wakati huo.

Manji alitorokea nje ya nchi mwaka wa 2018 baada ya Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kumuachia huru pamoja na wenzie watatu mwezi Septemba 2017 walipokuwa wakituhumiwa kwa makosa saba ya uhujumu uchumi.

Alituhumiwa pia kuhujumu usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeza sare za jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania.

Manji amerejea nchini Tanzania siku chache baada ya Rais Samia Suluhu kuhimiza wafanyabiashara waliotoroka nchi kurejea na kuendelea na uwekezaji wao.

Chanzo: BBC
Vipi Manji alimalizana vipi na Takukuru?
 
Back
Top Bottom