nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Siku hizi vitisho vya kutupoteza vimeishia wapi?!Hatuhojiwi kwa sababu hatujaiba pesa ya serikali ila wezi wote ukiwemo wewe lazima uhojiwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi vitisho vya kutupoteza vimeishia wapi?!Hatuhojiwi kwa sababu hatujaiba pesa ya serikali ila wezi wote ukiwemo wewe lazima uhojiwi.
So CAG ndiyo anapewa kesi za rushwa azichunguze? Are you serious man?Kwa vile kakamatwa na takukuru basi unaconclude ni rushwa!
Yeah uko rightVAT haikatwi na mlipaji bali mlipwaji hutakiwa kuwakilisha VAT kwa TRA kila baada ya mwezi usichanganye na withholding tax mkuu!!
Makwega hujui VAT inavyooperate au kuna kitu umesahau. Manji alitoa huduma, yeye ni VAT registered. Anavyotoa invoice kwa Tanesco ana charge na VAT. Kwa maneno mengine Manji alikuwa ni mkusanyaji wa VAT (Maana alitoa taxable supply). Tanesco ni Mlaji au mtumiaji wa Huduma za Manji (yeye ni Final Consumer). Kwenye VAT system, Final Consumer ndiye anayebeba Mzigo wa VAT na mkusanyaji ni supplier wa Service.Kama Tanesco walimlipa malipo yake yakiwa VAT inclusive uzembe ni wa Tanesco si wa alielipwa. Sawa na mwajiri amlipe mfanyakazi bila kukataa PAYE halafu umlaumu mfanyakazi. Hapo kosa litakuwa kama hakulipa VAT aliyoikata kwa aliowauzia bidhaa na au huduma zinazotozwa VAT
Shukuru Mungu kwa kila jambo pia mkuu!Siku hizi vitisho vya kutupoteza vimeishia wapi?!
Mkuu tujuze kitakachokua kinaendereaMfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya nchi .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru kamishna wa Polisi Said Hamduni, Manji anashikiliwa toka alipowasili nchini Tanzania akituhumiwa kukwepa kodi.
Kampuni zake za Intertrade Commercial LTD Service na Golden Globe International Service Limited zinatuhumiwa kwa kutolipa kodi ya VAT kati ya mwaka 2011 na 2015 wakati zikifanya biashara na Shirika la Umeme nchini Tanzania Tanesco Kupitia kampuni yake ya Golden Globe.
Kamishana Hamduni anasema kulifanyika udanganyifu wakati wa manunuzi ya kampuni ya Tigo.
Tuhuma nyingine inayomkabili ni kupitia kampuni yake ya Quality Group kuhusu mapato ya klabu ya Yanga ambayo alikuwa akiidhamini na kuiongoza kama mwenyekiti wakati huo.
Manji alitorokea nje ya nchi mwaka wa 2018 baada ya Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kumuachia huru pamoja na wenzie watatu mwezi Septemba 2017 walipokuwa wakituhumiwa kwa makosa saba ya uhujumu uchumi.
Alituhumiwa pia kuhujumu usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeza sare za jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania.
Manji amerejea nchini Tanzania siku chache baada ya Rais Samia Suluhu kuhimiza wafanyabiashara waliotoroka nchi kurejea na kuendelea na uwekezaji wao.
Chanzo: BBC
Hizi zinazolipa mishahara na kununua wachezaji zinatoka ktk ukoo wako naona!Mbona Mo Dewji hakamatwi, Hadi Leo hajaweka billion 20 kwenye account ya Simba
MTU MZIMA KUMEZESHWA UPOPOMA NA MWANAUME MWENZIO NA KUAMINI BILA KUFANYA UTAFITI NI UMAMA...ukiendelea hivyo utakuja kukikalia hicho kigogoUtopolo ni kuwaacha wezi ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ufisadi wa Ndungai india upotevu wa trilion 1.5 kisha kuhangaika na Manji kwa kosa lingine ambalo siyo Rushwa
Mkuu Soma post #205 nilishakiri kwamba nilitoa Boko.Makwega hujui VAT inavyooperate au kuna kitu umesahau. Manji alitoa huduma, yeye ni VAT registered. Anavyotoa invoice kwa Tanesco ana charge na VAT. Kwa maneno mengine Manji alikuwa ni mkusanyaji wa VAT (Maana alitoa taxable supply). Tanesco ni Mlaji au mtumiaji wa Huduma za Manji (yeye ni Final Consumer). Kwenye VAT system, Final Consumer ndiye anayebeba Mzigo wa VAT na mkusanyaji ni supplier wa Service.
Unachosema, kingekuwa kweli kama Kodi husika ilikuwa ni Withholding Tax (WHT) ambayo Mlipaji anatakiwa akate kabla hajamlipa supplier wa Service kama ilivyo katika "Section 84 of the Income Tax Act, 2004 (RE.2019).
Nitakupongeza Makwega kama utakuja hapa na kukiri kuwa umekosea kitu ulichokisema. Ahsante
Usijali Mkuu. Tanzania Kwanza Mengine Baadaye.Mkuu Soma post #205 nilishakiri kwamba nilitoa Boko.
Point kubwa sana hii.Hiyo Ni trick ya kumpokea.. ujasusi mtulizo.
Wewe tayari unapakatwa kwa kuamini uzushi juu ya Manji na umepakatwa zaidi pindi mwendazake akikutumia kutekeleza manyanyaso dhidi ya wakosoaji wa udikiteta wakeMTU MZIMA KUMEZESHWA UPOPOMA NA MWANAUME MWENZIO NA KUAMINI BILA KUFANYA UTAFITI NI UMAMA...ukiendelea hivyo utakuja kukikalia hicho kigogo
Niamini tupo nae hapa ukumbini mkutano wa Yanga.Hiyo Ni trick ya kumpokea.. ujasusi mtulizo.
Vipi Manji alimalizana vipi na Takukuru?Mfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya nchi .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru kamishna wa Polisi Said Hamduni, Manji anashikiliwa toka alipowasili nchini Tanzania akituhumiwa kukwepa kodi.
Kampuni zake za Intertrade Commercial LTD Service na Golden Globe International Service Limited zinatuhumiwa kwa kutolipa kodi ya VAT kati ya mwaka 2011 na 2015 wakati zikifanya biashara na Shirika la Umeme nchini Tanzania Tanesco Kupitia kampuni yake ya Golden Globe.
Kamishana Hamduni anasema kulifanyika udanganyifu wakati wa manunuzi ya kampuni ya Tigo.
Tuhuma nyingine inayomkabili ni kupitia kampuni yake ya Quality Group kuhusu mapato ya klabu ya Yanga ambayo alikuwa akiidhamini na kuiongoza kama mwenyekiti wakati huo.
Manji alitorokea nje ya nchi mwaka wa 2018 baada ya Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kumuachia huru pamoja na wenzie watatu mwezi Septemba 2017 walipokuwa wakituhumiwa kwa makosa saba ya uhujumu uchumi.
Alituhumiwa pia kuhujumu usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeza sare za jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania.
Manji amerejea nchini Tanzania siku chache baada ya Rais Samia Suluhu kuhimiza wafanyabiashara waliotoroka nchi kurejea na kuendelea na uwekezaji wao.
Chanzo: BBC