Yusufu Kagoma si tu mchezaji—ni hazina ya kipekee!

Yusufu Kagoma si tu mchezaji—ni hazina ya kipekee!

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
20241229_105851.jpg


Anakugharimu ukiwa bado unatazama, anasafisha kazi chafu kwa ustadi, na yupo mbele ya muda wake.

Unapojiuliza, "Hivi Kagoma yupo kweli?" yeye tayari ameshaiba mpira na kuanzisha shambulizi!

Kagoma amedefine upya role ya kiungo mkabaji — anabadilika kutokana na mahitaji ya mchezo.

Leo ni soft kama kitambaa cha silky, kesho ni chuma cha meli mkileta masihara.

Wengine wanahesabu assists, yeye anahesabu tackles zilizosababisha counter-attack!

Kwenye game ya jana Kagoma ali-'intercept' mpaka shabiki wakasema huyu mwamba hatoki jikoni kwenye mechi.

Kwa Taifa la leo na kesho, tunapaswa kumlinda na kumlea mchezaji kama Kagoma.

Si wa mchezaji tu—ni asset, ni mwamba wa kiungo, yeye ndiye definition halisi ya kiungo mkabaji!

Credit: Simba Ni Jamii Yetu
 
View attachment 3187595

Anakugharimu ukiwa bado unatazama, anasafisha kazi chafu kwa ustadi, na yupo mbele ya muda wake.

Unapojiuliza, "Hivi Kagoma yupo kweli?" yeye tayari ameshaiba mpira na kuanzisha shambulizi!

Kagoma amedefine upya role ya kiungo mkabaji — anabadilika kutokana na mahitaji ya mchezo.

Leo ni soft kama kitambaa cha silky, kesho ni chuma cha meli mkileta masihara.

Wengine wanahesabu assists, yeye anahesabu tackles zilizosababisha counter-attack!

Kwenye game ya jana Kagoma ali-'intercept' mpaka shabiki wakasema huyu mwamba hatoki jikoni kwenye mechi.

Kwa Taifa la leo na kesho, tunapaswa kumlinda na kumlea mchezaji kama Kagoma.

Si wa mchezaji tu—ni asset, ni mwamba wa kiungo, yeye ndiye definition halisi ya kiungo mkabaji!

Credit: Simba Ni Jamii Yetu
Huyu dogo nilimkubali tangu yupo geita, nikatamani engineer amuone mapema atuletee pale jangwani but ndo hvo tena tumechelewa katua kwa makolo but ni bonge la number
 
Huyu dogo nilimkubali tangu yupo geita, nikatamani engineer amuone mapema atuletee pale jangwani but ndo hvo tena tumechelewa katua kwa makolo but ni bonge la number
Huyu Mali Kitambo Sema wazawa huwa hatuwapi heshima inayostahili pia amechelewa sana kwenda big teams na taifa linamhitaji sana huyu mwamba
 
View attachment 3187595

Anakugharimu ukiwa bado unatazama, anasafisha kazi chafu kwa ustadi, na yupo mbele ya muda wake.

Unapojiuliza, "Hivi Kagoma yupo kweli?" yeye tayari ameshaiba mpira na kuanzisha shambulizi!

Kagoma amedefine upya role ya kiungo mkabaji — anabadilika kutokana na mahitaji ya mchezo.

Leo ni soft kama kitambaa cha silky, kesho ni chuma cha meli mkileta masihara.

Wengine wanahesabu assists, yeye anahesabu tackles zilizosababisha counter-attack!

Kwenye game ya jana Kagoma ali-'intercept' mpaka shabiki wakasema huyu mwamba hatoki jikoni kwenye mechi.

Kwa Taifa la leo na kesho, tunapaswa kumlinda na kumlea mchezaji kama Kagoma.

Si wa mchezaji tu—ni asset, ni mwamba wa kiungo, yeye ndiye definition halisi ya kiungo mkabaji!

Credit: Simba Ni Jamii Yetu
Kwani ile kesi imeishaje?
 
Umeshaongea na mwanasheria wenu maana alituaminisha ni mchezaji wenu na mkataba akatuonyesha.
Mwanasheria ni mechi ya Simba na Yanga maana Kagoma alikimbizwa na kutolewa mapema baada ya maji kuita mma.
Wachezaji Daraja C trip Shamba trip Garage weka mbali na Yanga.
 
Bonge la mchezaji ila maamuzi ya kuchagua makolo anajinyima nafasi ya kukua kisoka. So far ukoloni watamfaidi ila hatakua na nafasi ya kukua zaidi ila angechagua club bora hapa TZ tungemuona mbali sana.
 
Hili Eneo linawasumbua simba kwa Muda mrefu sana.

Kagoma Amejitahidi sana Japo anachangamoto kwenye Ufanisi wa passi na Majeraha ya mala.kwa mala Okejepha ni Mzuri mno kwenye pasi.
lakini kukaba na fujo zote za No 6 hawezi.

Hili eneo simba wanahitaji kutoa sadaka mchezaji mmoja ili wapate kiungo Mgumu wa maana.

Waachane na Okejepha Mutalr au Ngoma.
PIA WASISAHAU KUMSAJILI KIUNGO NO 10 KIMVUZUIDI.
 
Huyu dogo nilimkubali tangu yupo geita, nikatamani engineer amuone mapema atuletee pale jangwani but ndo hvo tena tumechelewa katua kwa makolo but ni bonge la number
Tulieni Utopwox...poleni sana utopolo
 
Back
Top Bottom