JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Yusufu Mwana Wa Yakobo alipoitwa kutafsiri ndoto ya Mfalme wa Misiri, pamoja na kutafsiri ndoto lakini alimwambia Mfalme kuwa, kutakuwa na njaa na katika nchi basi tujenge maghala ili tutunze chakula.
Huyu wa kwetu hapa, Bashe anashauri chakula kiuzwe nje ya nchi.
Baadae atamwambia tena tukanunue wapi chakula.
Tuwe tunasoma ili kujifunza maisha ya wenzetu huko nyuma walivyo vuka kwenye changamoto.
Huyu wa kwetu hapa, Bashe anashauri chakula kiuzwe nje ya nchi.
Baadae atamwambia tena tukanunue wapi chakula.
Tuwe tunasoma ili kujifunza maisha ya wenzetu huko nyuma walivyo vuka kwenye changamoto.