Yusuph Bakharesa fanya kitu kwa Fei Toto

Akuna timu bongo ya kumnunua fei toto endeleeni kujitekenya na ķucheka wenyewe, uyo dogo labda apate timu nje ndo yanga watamuachia vinginevyo endeleeni na story za kwenye vilinge vya kahawa na wanzuki siku ziende
 
Kama FEI TOTO ana mawazo ya maisha ...basi nenda AZAM..
Ila kama unataka sifa za kuimbwa ktk media bakia Yanga...
Ila ujue simba na yanga hazimvumilii mtu hasa zikiyumba ktk matokeo ..
 
Kama nakuona vile unatype kwa hasira
 
Kama FEI TOTO ana mawazo ya maisha ...basi nenda AZAM..
Ila kama unataka sifa za kuimbwa ktk media bakia Yanga...
Ila ujue simba na yanga hazimvumilii mtu hasa zikiyumba ktk matokeo ..
Uhakika mno
 
Kama FEI TOTO ana mawazo ya maisha ...basi nenda AZAM..
Ila kama unataka sifa za kuimbwa ktk media bakia Yanga...
Ila ujue simba na yanga hazimvumilii mtu hasa zikiyumba ktk matokeo ..
Unamaanisha nini kusema akitaka maisha?
 
Manchester city hawana uwanja... Aly ahl hawana kiwanja, AC milan hawana uwanja, inter Milan hawana uwanja, je nazo zinazidiwa hela na Azam?? Namungo ina kiwanja chake je nayo ni kubwa kuliko Simba au Yanga???
Ndio mnavyojitetea mihogoni fc pale. Maana yangu ni kwamba kama timu inaweza kujenga kiwanja chake ambapo mihogo fc wameshindwa tangu 1935 hawawezi kosa dau la kumnasa mchezaji tena wa kibongo
 
Ndio mnavyojitetea mihogoni fc pale. Maana yangu ni kwamba kama timu inaweza kujenga kiwanja chake ambapo mihogo fc wameshindwa tangu 1935 hawawezi kosa dau la kumnasa mchezaji tena wa kibongo
Tell her
 

Mbona djuma shaban naye anacho[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga wambakiza Fei Toto kibabe
 
Akuna timu bongo ya kumnunua fei toto endeleeni kujitekenya na ķucheka wenyewe, uyo dogo labda apate timu nje ndo yanga watamuachia vinginevyo endeleeni na story za kwenye vilinge vya kahawa na wanzuki siku ziende
Bado upo hai mkuu? Heri YA krismass kwako😝😝😝😝😝
 
Kwani ubingwa ndio nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…