Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Akuna timu bongo ya kumnunua fei toto endeleeni kujitekenya na ķucheka wenyewe, uyo dogo labda apate timu nje ndo yanga watamuachia vinginevyo endeleeni na story za kwenye vilinge vya kahawa na wanzuki siku ziendeHabari za muda huu wapendwa,
Sakata za uhamisho za Januari naona zimeanza, nasikia Azam ameweka pesa nyingi sana kwa Fei Toto.
Bosi wangu Yusuph onesha jeuri ya pesa, ikikupendeza mpeni Fei mshahara anaoutaka na hata akihitaji kiwanda apatiwe tu, tunamuitaji sana.
Tunataka Azam iwe timu tishio.
Kama nakuona vile unatype kwa hasiraUnamtaka aje Azam ili na yeye aote kitambi siyo! Maana nyinyi timu yenu inajua kuwanenepesha tu wachezaji, na kuwaotesha vitambi.
Lile ligolikipa lenu kutoka Zanzibar, sijui linaitwa Salule! Ndiyo kabisaa! Tambi kama lote! Ibrahimu Ajib anashindwa hata kucheza mpira kwa sasa kwa sababu ya kitambi!
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Hasira za nn Azam ni Kubwa Kwa sasa
Nyie ni wauza ngadaNaona Feitoto ameanza kupata akili sasa, bado kuzushiwa Simba, hii itasaidia apate mshahara mnono pale mihogoni kama kina Aziz kii
Unamaanisha nini kusema akitaka maisha?Kama FEI TOTO ana mawazo ya maisha ...basi nenda AZAM..
Ila kama unataka sifa za kuimbwa ktk media bakia Yanga...
Ila ujue simba na yanga hazimvumilii mtu hasa zikiyumba ktk matokeo ..
Ndio mnavyojitetea mihogoni fc pale. Maana yangu ni kwamba kama timu inaweza kujenga kiwanja chake ambapo mihogo fc wameshindwa tangu 1935 hawawezi kosa dau la kumnasa mchezaji tena wa kibongoManchester city hawana uwanja... Aly ahl hawana kiwanja, AC milan hawana uwanja, inter Milan hawana uwanja, je nazo zinazidiwa hela na Azam?? Namungo ina kiwanja chake je nayo ni kubwa kuliko Simba au Yanga???
Ngada FC wamalize kwanza kesi ndio waje kwenye usajiliNaona Feitoto ameanza kupata akili sasa, bado kuzushiwa Simba, hii itasaidia apate mshahara mnono pale mihogoni kama kina Aziz kii
Unamtaka aje Azam ili na yeye aote kitambi siyo! Maana nyinyi timu yenu inajua kuwanenepesha tu wachezaji, na kuwaotesha vitambi.
Lile ligolikipa lenu kutoka Zanzibar, sijui linaitwa Salule! Ndiyo kabisaa! Tambi kama lote! Ibrahimu Ajib anashindwa hata kucheza mpira kwa sasa kwa sababu ya kitambi!
Yanga wambakiza Fei Toto kibabeHabari za muda huu wapendwa,
Sakata za uhamisho za Januari naona zimeanza, nasikia Azam ameweka pesa nyingi sana kwa Fei Toto.
Bosi wangu Yusuph onesha jeuri ya pesa, ikikupendeza mpeni Fei mshahara anaoutaka na hata akihitaji kiwanda apatiwe tu, tunamuitaji sana.
Tunataka Azam iwe timu tishio.
Tayari, Yusuf ameshawatieni la katiUnatengeneza tetesi, halafu unataka mtu aifanye iwe tetesi.
Bado upo hai mkuu? Heri YA krismass kwako😝😝😝😝😝Akuna timu bongo ya kumnunua fei toto endeleeni kujitekenya na ķucheka wenyewe, uyo dogo labda apate timu nje ndo yanga watamuachia vinginevyo endeleeni na story za kwenye vilinge vya kahawa na wanzuki siku ziende
Nani ana points nyingi CAF kati ya Utopolo na Azam? Ama unaangalia umriKutoka Yanga kwenda Azam ni kupiga hatua kurudi nyuma.. Japo Azam ndio timu inayoendeshwa kisasa ila bado ni timu ndogo sana kulinganisha na Yanga au Simba
Kwani ubingwa ndio niniAzam ni timu inayojitafuta.. bado sana kuweza kuchukua ubingwa wa nchi hii ukiacha michuano ya kimataifa huko ndio haijulikani kabisa.. Sasa kumshauri mchezaji kuondoka kwenye timu ambayo ina uhakika wa kuchukua ubingwa aende timu ambayo inagombania nafasi ya pili au ya tatu ni ushauri wa kijinga.