Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Akuna timu bongo ya kumnunua fei toto endeleeni kujitekenya na ķucheka wenyewe, uyo dogo labda apate timu nje ndo yanga watamuachia vinginevyo endeleeni na story za kwenye vilinge vya kahawa na wanzuki siku ziendeHabari za muda huu wapendwa,
Sakata za uhamisho za Januari naona zimeanza, nasikia Azam ameweka pesa nyingi sana kwa Fei Toto.
Bosi wangu Yusuph onesha jeuri ya pesa, ikikupendeza mpeni Fei mshahara anaoutaka na hata akihitaji kiwanda apatiwe tu, tunamuitaji sana.
Tunataka Azam iwe timu tishio.